M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Lile sakata la kupitisha umeme mbele ya kanisa la Mch. Kakobe hatimaye linaonekana limefikia tamati baada ya waumini waliokuwa wanalinda kanisa hilo usiku na mchana kwa siku zote toka sakata hili lilipoanza kutawanyika rasmi hivyo kupisha njia kwa TANESCO kuendelea na mradi wao, hiyo ndiyo taswira iliyopo kanisani hapo leo asubuhi kwani hakuna 'mlinzi' hata mmoja anayeonekana.,inasemekana hii ni kutokana na kauli ya serikali iliyotolewa na waziri husika jana.