Kaka yangu jogoo hawiki, msaada wenu

Kaka yangu jogoo hawiki, msaada wenu

Niwemugizi

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2012
Posts
902
Reaction score
462
Nahitaji msaada wenu wanajamii forum, naamini palipo na wengi hapaharibiki jambo na mwisho wa siku ntapata msaada wa kunikwamua mahali nilipo

Nina kaka yangu mwaka huu amefunga 42 years, actually ni mototo wa mama yangu mkubwa, ina shida moja kubwa ambayo nimeigundua hivi majuzi baada ya kumfuatilia kwa muda mrefu bila kupata majibu. Kaka yangu linapokuja suala la kuoa anasema kuwa hajapata mwanamke sahihi wa kumweka ndani awe mama watoto wake.

Wakati nikiwa chuo alinisumbua sana namlink na wadada ambao niliona wanaweza wakawa wife material ila relationship yao haikuwa inakaa zaidi ya miezi mitatu inavunjika, nikimuuliza mdada ananiambia muulize kaka yako nikimuuliza bro anasema watoto wa chuo wasumbufu.

Maisha yakaendelea basi tulivoanza kazi na penyewe akawa anasema km job kwangu kuna msichana ambae naona ni wife material nimuunganishe nae maana yeye kazi zimemtinga na pia kazini kwao amesearch hajaona, du kweli nikampata mlokole mmoja wa kwa mchungaji mama Lwakatare huko milima ya moto,

mimi nikajua sasa tayari tunaenda kutoa mahari but baada ya miezi miwili uhusiano ukavunjika nikamuuliza shida ni nini kila mmoja akaniambia muulize kaka yako na kaka ananiambia muulize huyo unaemuita wife material wako.

Anyway to cut the story short nilimmbana mmoja wa wadada aliokuwa nao wale wa chuoni akaniambia kuwa kaka hasimamishi akaniaapia kuwa walienda guest bro jogoo akashindwa kuwika sasa wandugu nashindwa nifanyeje kumsaidia brother yangu maana umri umekwenda ana 42 yrs ila familia ndiyo hana hata mtoto wa kusingiziwa.

Naombeni mnisaidie namna ya kumuingia ili nimuunganishe kwa madaktari maana nina mtu namfahamu alikuwa kama yeye alipopewa mitishamba alipona kabisa na yupo gado, nisaidie ideas namna ya kulianzisha kwa kaka ili apate kuponyeka nayeye afurahie uanaume wake
 
Nahitaji msaada wenu wanajamii forum, naamini palipo na wengi hapaharibiki jambo na mwisho wa siku ntapata msaada wa kunikwamua mahali nilipo

Nina kaka yangu mwaka huu amefunga 42 years, actually ni mototo wa mama yangu mkubwa, ina shida moja kubwa ambayo nimeigundua hivi majuzi baada ya kumfuatilia kwa muda mrefu bila kupata majibu. Kaka yangu linapokuja suala la kuoa anasema kuwa hajapata mwanamke sahihi wa kumweka ndani awe mama watoto wake. Wakati nikiwa chuo alinisumbua sana namlink na wadada ambao niliona wanaweza wakawa wife material ila relationship yao haikuwa inakaa zaidi ya miezi mitatu inavunjika, nikimuuliza mdada ananiambia muulize kaka yako nikimuuliza bro anasema watoto wa chuo wasumbufu.

Maisha yakaendelea basi tulivoanza kazi na penyewe akawa anasema km job kwangu kuna msichana ambae naona ni wife material nimuunganishe nae maana yeye kazi zimemtinga na pia kazini kwao amesearch hajaona, du kweli nikampata mlokole mmoja wa kwa mchungaji mama Lwakatare huko milima ya moto, mimi nikajua sasa tayari tunaenda kutoa mahari but baada ya miezi miwili uhusiano ukavunjika nikamuuliza shida ni nini kila mmoja akaniambia muulize kaka yako na kaka ananiambia muulize huyo unaemuita wife material wako.

Anyway to cut the story short nilimmbana mmoja wa wadada aliokuwa nao wale wa chuoni akaniambia kuwa kaka hasimamishi akaniaapia kuwa walienda guest bro jogoo akashindwa kuwika sasa wandugu nashindwa nifanyeje kumsaidia brother yangu maana umri umekwenda ana 42 yrs ila familia ndiyo hana hata mtoto wa kusingiziwa. Naombeni mnisaidie namna ya kumuingia ili nimuunganishe kwa madaktari maana nina mtu namfahamu alikuwa kama yeye alipopewa mitishamba alipona kabisa na yupo gado, nisaidie ideas namna ya kulianzisha kwa kaka ili apate kuponyeka nay eye afurahie uanaume wake
Haya bhn
 
Dawa zipo inabidi umuhangaikie mitishamba 42yrs bado hajachelewa. Sasa kwa nini amechukua muda mrefu hivyo kuficha tatizo
 
Pole mkuu. Mboo kutokudinda sio jambo la kawaida aseeh. Wewe ambae inadinda utaona kawaida ila ikikutokea aseeh utataja majina yote.

Muulize huyo jamaa aliyekwishapona
 
aliyetegwa mimi nipo gado ila sikulazimishi uamini hivo, nimekuja hapa kuomba watu wanisaidie mbinu za kuingia kwa brother ili nimfahamishe kuwa hajachelewa tiba ipo ila shida ni namna ya kumuingia na kusema kuwa nimesikia husimamishi ndiyo shida hapo aise
 
Kuna rafiki yangu mumewe had some issue,nikapata Bibi mmoja akamsaidia sasa sijui tatizo lake huyo bro wako limeanzaje limeanzaje,lakini nakumbuka tulitoa elfu 30 tuu akapata dawa ya kuweka kwenye chai na nyengine ya kuchemsha mizizi,sasa rafiki anapeta na mumewe na ameweka routine Asubuhi lazima apate sunday hataki kujua anarudia,anasema analipiza those missed days,kama utataka kujaribu naweza kukuulizia kwa Bibi...
 
Kuna rafiki yangu mumewe had some issue,nikapata Bibi mmoja akamsaidia sasa sijui tatizo lake huyo bro wako limeanzaje limeanzaje,lakini nakumbuka tulitoa elfu 30 tuu akapata dawa ya kuweka kwenye chai na nyengine ya kuchemsha mizizi,sasa rafiki anapeta na mumewe na ameweka routine Asubuhi lazima apate sunday hataki kujua anarudia,anasema analipiza those missed days,kama utataka kujaribu naweza kukuulizia kwa Bibi...


Halafu wewe, nakusalimia tu lakini
 
Thanks kwa ushauri mkuu wa huyo bibi, ila shida ni namna ya kumwambia bro kwamba sasa brother unaumwa abc sasa nimepata mganga wa kukutibu pa kuanzia ndo shida
 
Ipo hivi.. kuna tatizo la kimaumbile... au alikuwa akisimamisha hapo nyuma lakin miaka ilivyozidi kwenda antenna ikawa haishiki frequency. Ukijua kati ya hayo ... utajua uanzie wapi kumaliza tatizo.. ila yeye mwenyewe awe muwazi
 
Back
Top Bottom