Kumtumia vizuri hamaanishi umwambie akuote No,ila uwe karibu nae tu kwa simu kila siku. Kuna kumwambia kila atakaloota kuhusu wewe akuahirikishe hata kama ni baya,ili ujue ujipange vipi. Halafu kumtumia vizuri kwa kuyatumia kwa usahihi yale aliyokuotea
hahahaha kaka wa mkeo atakutekaNa iwe hivo ila sasa suala la kutekwa ukweni mmmh....hapo ni balaa
ukipenda ua penda na boga lake.Nimeipenda site yako mkuu
Wakati mwingine ndoto ni onyo kukulinda dhidi ya jambo linaloweza kukuathiri. Unachotakiwa kufanya kama ni Mkristo ni kuitakasa ndoto hiyo kwa Jina la yesu na kumuona sana Mungu akuepushe na baya hilo. Endapo Mungu ndio ametaka iwe hivyo basi hakuna namna itakuwa hivyo hivyo alivyooteshwa ndugu yako. Hivyo itakupasa ukabiliane nayo
Hapana ila yakupasa kumshirikisha Mungu katika hili. Nimetolea mfano wa Wakristo because one of the ways kushindana na maovu ni kwa kutumia damu ya Yesu. Wewe kama ni Muislamu bado unaweza kumuomba Mungu kwa kutumia Ayatul Hirsi hasa hasa Surah Al Falaq, Surah Ikhlas na Ayatul Kursi.Kama sio mkiristo ndio nishafeli?!
Hahah...kwa kweli!!Hapana ila yakupasa kumshirikisha Mungu katika hili. Nimetolea mfano wa Wakristo because one of the ways kushindana na maovu ni kwa kutumia damu ya Yesu. Wewe kama ni Muislamu bado unaweza kumuomba Mungu kwa kutumia Ayatul Hirsi hasa hasa Surah Al Falaq, Surah Ikhlas na Ayatul Kursi.
Sasa kama sio Muislamu pia hapo tena sina cha kukusaidia [emoji23][emoji23][emoji23]