Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Augustino Polepole, ambaye ni kaka yake Humphrey Polepole, amethibitisha kuwa ndugu yake ametekwa na kumtaja afisa wa polisi aitwaye Mafwele, ZCO wa Jeshi la Polisi Tanzania, kuwa anahusishwa na tukio hilo usiku wa kuamkia leo Oktoba 6, 2025.
Aidha, Agustino ameeleza kuwa mdogo wake ana kifaa maalumu (chipu) mwilini kinachomwezesha kufuatiliwa, hivyo wanaendelea kupata taarifa za mahali alipopelekwa na watekaji.
Soma: Humphrey Polepole ametekwa leo asubuhi Oktoba 6
Aidha, Agustino ameeleza kuwa mdogo wake ana kifaa maalumu (chipu) mwilini kinachomwezesha kufuatiliwa, hivyo wanaendelea kupata taarifa za mahali alipopelekwa na watekaji.
Soma: Humphrey Polepole ametekwa leo asubuhi Oktoba 6