figureoutable
Member
- Aug 4, 2021
- 29
- 54
"Basi tu Mungu ametuumbia Nyege na hii ndiyo inanifanya hata niweze kuwazoea hawa Watu na hata kuassociate nao na ingekua vinginevyo Kwa namna ninavyowadharau Wanawake ,Dharau hii ingekua (infinite times)"
Astakafirullah for your statement
Unakosea Sana kuwa na conclusion ya kwamba wanawake wote Ni sawa either kwa sababu ya wachache uliokutana nao wakawa na notion zinazofanana au kwa baadhi ambao umeshuhudia matendo Yao kwa jiran ama ndugu zako ,,,,, by the way watu wanatofautiana mpendwa usiwe na ujumuishi ambao hauna mantiki
Astakafirullah for your statement
Unakosea Sana kuwa na conclusion ya kwamba wanawake wote Ni sawa either kwa sababu ya wachache uliokutana nao wakawa na notion zinazofanana au kwa baadhi ambao umeshuhudia matendo Yao kwa jiran ama ndugu zako ,,,,, by the way watu wanatofautiana mpendwa usiwe na ujumuishi ambao hauna mantiki