KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
Alaaniwe yule alalae na "umbu lake yaani binti wa mama yake" Maandiko haya yapo ndani ya Biblia sipakumbuki. Hivyo ni makatazo tosha wala hatuhitaji kupindisha Katiba Hii ya Mwenyezi Mungu.
Wasilaaniwe kwani si binti wa mamake ni binti wa mamake mdogo kaka soma thread uielewe