Kaka na Dada wapeana mimba

Kwenye safina Nuhu na ndugu wachache walisalimika. Walizaliana vipi bila kuwa na mahusiano ya mapenzi ya ndugu na Ndugu?

Hili nalo neno!,
Iwapo ilishawahi tokea iweje sasa walimwengu wanshangaa!!!!!!!!!!!!!?????....................:focus:
 
Babu zangu wawili walioa nyumba moja (kwa mjomba wao) mkubwa alibeba mkubwa, na mdogo akachukua mdogo, ila babu wa tatu ye alitoka nje ya familia kwani kina bibi wao walizaliwa wawili tu hivyo akakosa binam wa kuoa. Hawa wa mkubwa na mdogo maadam hawakuchangia nyonyo tuwape barka ya ndoa.
 
Kwangu mimi hii naona ni changa moto kwa vijana wa leo, japo media zinatuharibu lakini si kiasi hicho kiasi kikubwa ni sisi wenyewe kuto elewa mambo. Utakuta kaka na dada mara wamekumbatiana, mara wameshikana, au dada kavaa kasketi nusu, au kaacha maembe yanaelea nje. Au wanaangalia fimalu ya kanumba huku wamepakatana eti hakuna umeme huyu ni kaka na dada. Pia utakuta wanapiga stiory za mapenzi utadhania ni watu tofauti.
 
Ukiwa hivyo inamaana utaweza kutoka na mjomba,baba mdogo,mpwa na wengine kwa kuwa hamjanyonya ziwa moja.
 
Kwa hili mtalijadili mchana usiku hata mwaka ! Na hamtopata kauli ya pamoja.
Sababu ni nini ?
Sababu linaendana due faith ! Kwa waislam Inaruhusiwa kuoana, na hairusiwi kuzini kwao.
Kwa wakristo hairuhusiwi kuoana na hairuhusiwi wazini kama wazinivyo hadi mimba paaa! Hence ni vyema na ni busara kila faith iheshimiwe na customs zake.
 
waoane mbona mtoto wa mjomba anaweza olewa na mtoto wa shangaz sasa tofaut iko wap na mtoto wa mamkubwa na mamdogo? hao c ni mabinamu zen wacha waoane afta all kila mtu anajina la ukoo wake
 
changieni mada husika wala msiitafasiri biblia kwa jinsi mnavyoelewa ninyi, katika garika nuhu aliingia yeye na mkewe na watoto wake na wake za watoto wake ndio maana waliendelea kuzaliana.
 
hiviiii vi mchezoooo sio vizuriii jamaniii..vya ndugu kwa nduguuuu.vinaumaaaaa
 
madhani kuna mandiko yaliosema nendeni duniani mkazaliane so nadhani hao hawana kosa hata kidogo wametimiza wajibu wao
 
Back
Top Bottom