Unajua chanzo cha hayo mambo ni kwa sababu ya kupenda sana dini na malezi ya kuchungwa na wazazi wao hao wacha Mungu.
1. Mwanadamu huwa anakuwa na hatua za kukua kama ilivyo kwa kiumbe yeyote. wanafika mahali wanakuwa na hamu ya kuwa na mwenza kutokana na hisia za mwili sasa kama watoto unawafungia sana na kuwachunga sana ndio maana wanajikuta wako na uhusiano wenyewe kwa wenyewe na wala sio ugonjwa hilo ni tatizo tuu la kisaikolojia. Unakuta kaka na dada walivunjana bikra kwasababu hawakuwa na access ya watu wengine.
Inabidi kama ni kuwasaidia ni kuwapa conceling maana ni tatizo la kisaikolojia na linatokana na malezi. Wataalamu wanasema mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake so inawekana nao walikula kutokana na kuwa wamefungiwa tuu. Mfano magerezani watu wanatiana kwa sababu hamna wanawake na wanawake wanasagana hata mashuleni kwa sababu hawana access na wanaume na hiyo taibia ikishakolea huwezi acha ni kama kupiga mustarbation ukishazoea ni basi mkuu. Sasa watafute mshauri wa kisaikologi awashauri na pia ni muhimu sana kwa hao kaka na dada kuishi mbali mbali.
Pia huyo rafiki yako inabidi ampe mke wake penzi kali sana hata iibidi kunyonya chanel O anyonye inawezekana dada anapata penzi tamu zaidi kwa dada kuliko bwana wake. Kithuku unajua sisi wanaume ni waajabu sana ukichukua mlupo au demu asiye wako unamtia kwa hasira zote na kumaliza utundu wako lakini ukifika kwa mkeo unamptia kwa kubembeleza ila aone unamheshimu hapo ndio huwa tunafanya kosa la kiufundi.
Kaka mtu amjaza mimba mdogowe
*Wako shule moja kaka darasa la 7, dada la 4
*Yadaiwa wazazi wanawalaza chumba kimoja
Na Theonestina Juma, Bukoba
MWANAFUNZI wa darasa la nne katika ya shule ya msingi Rukurungo wilayani Misenyi, kata ya Budandika, anadaiwa kupachikwa mimba na kaka yake wa tumbo moja, ambaye anasoma pia darasa la saba shuleni hapo.
Habari zilizopatikana shuleni hapo zilieleza kuwa sababu ya watoto hao mtu na kaka yake kufanya mapenzi hadi kufia hatua ya kupeana mimba ni kutokana na wazazi wao kuwalaza katika chumba kimoja.
Watoto hao ambao ni wanafunzi wa kiume ana umri wa miaka 17 na msichana ana umri wa miaka 14 wote wanafunzi wa shule ya msingi Rukurungo.
Kwa mujibu wa Katibu Mtendaji wa kijiji kimojawapo katika kata ya Bugandika ambaye hakutaka jina lake litajwe kwa usalama wake binti huyo alibainika kuwa na ujauzito Julai 21 mwaka huu, wakati mimba ikiwa ya miezi saba tangu.
Aliendelea kusema kuwa mimba hiyo iligunduliwa na uongozi wa shule ya Rukurungo baada ya mwenendo wake kitaaluma kushuka kila siku, bila kujulikana sababu na hivyo kuwatia wasiwasi walimu wake.
Ofisa huyo alisema kutokana na hali hiyo, uongozi wa shule haukuridhika na mwenendo wake kitaaluma, hivyo ulimwita mtoto huyo wa kike kwa lengo la kumuliza nini kinachomsibu katika masomo yake ya darasani.
Mwanafunzi huyo aliwaeleza walimu hao kisa chote, kwamba ana mimba na kuwa aliyempa ni kaka yake, ambaye anasoma shuleni hapo.
Naye mtoto wa kiume alipoitwa mbele ya walimu, alikiri kumpa mimba mdogo wake huyo.
Baada ya uongozi wa shule kuridhika na taarifa zilizotolewa na ndugu hao wawili, walimwita baba yao mzazi, ambaye alifika shuleni na kuelezwa matatizo ya watoto wake, lakini baba alitaka mambo hayo yasiende mbele alitaka yaishie hapo shuleni.
Hata hivyo, baada ya uongozi wa shule kubaini hilo, waliamua kutoa taarifa katika ofisi za kata na za vijiji ili hatua za haraka na za kisheria ziweze kufuatwa, hatua za kisheria zilifuatwa ambapo kijana huyo alipelekwa katika ofisi za kata na hatimaye Polisi.
Hata hivyo, kitu kinachowashangaza watu wengi wanaoishi katika maeneo yanayozunguka shule hiyo ni kwamba kijana huyo anaendelea na masomo huku mdogo wake akiwa amesimamishwa masomo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, baadhi wakazi wa kijiji cha Rukurungo ambao hawakutaka majina yao yatajwe, waliliambia gazeti hili kuwa vijana waliopachikana mimba licha ya udugu wao uhusiano wao ulikuwa mkubwa kiasi cha kuwafanya watu wawe na wasiwasi juu yao.
Walidai kuwa pamoja na kuwa ndugu, wazazi wao walikuwa wanawalaza chumba kimoja, kitu ambacho ni kinyume na maadili ya mtu ambaye ameishakuwa na matamanio.
Walisema kuwa hii si bahati mbaya, bali ni kama wazazi wa watoto hao walichangia tatizo hilo kwa asilimia kubwa.
Hata hivyo, juhudi za gazeti hili kumpata mzazi wa watoto hao ili kutoa maelezo zaidi ya malalamiko ya wananchi kudai kuwa alikuwa akiwalaza watoto hao chumba kimoja, ziligonga mwamba na hata hivyo gazeti hili bado linafanya jitihada ya kumpata mzazi wa watoto hao.
Chanzo cha Habari: Gazeti La Majira, 02/09/2007
aliyesema kuwa mbuzi na chui hawawezi kuchungwa pamoja alisema kweli. Mambo haya yanabadilika mnapoanza utani utani wa kingono. Unamuona dada yako kapendeza unatoa comment ya kisex... dada anafurahia na yeye anajibu kiutani, mwisho mguso, mwisho mtu katumbukiza, mwisho ni siri ya familia mwisho mtu "kapigwa chini kavimba juu".. na matokeo wazee tunaitwa kufanya kile kiitwacho "kivunja undugu"...
Wakuu wenye utaalamu katika fani ya tiba nisaidieni hapa.
Nimeongea na rafiki yangu aliyeko Tz kaniambia kuwa last week kaachana na mkewe baada ya kumfumania akifanya ngono na KAKA yake. Ndiyo, kaka yake kabisa baba mmoja mama mmoja, yaani namaanisha kaka na dada wamefanya mapenzi, na huyo kaka ndio mdogo kwa huyo mke.
Mara nyingi mke wake alikuwa anaenda kwao kusalimia na siku zote jamaa anasema kweli alikuwa anaenda kwao, wala hakuwahi kumtilia shaka lolote. Na huyo shemeji yake alikuwa anakuja nyumbani kwao hasa wakati fulani alipokuwa high school, na ni kijana mwenye heshima tu.
Sasa jamaa karudi nyumbani jumapili mchana baada ya safari yake (ya ndege) kuahirishwa kajaribu kumpigia simu mkewe kumtaarifu anarudi ikawa haipatikani. Kafika nyumbani, hakuna mtu, akafungua mlango sebuleni, kufika chumbani lahaula! Kakuta wako kwenye session, shemeji yake jasho linamtoka!
Cha kushangaza ameniambia amegundua baadae kwamba hata shemeji yake mwingine (dada wa huyo mkewe, kwao wako wasichana wawili tu), alikosana na mchumba kutokana na tabia ya kufanya mapenzi na kaka yao mwingine, na inadaiwa bado wanaendelea ingawa huyo kaka ameshaoa. Hiyo tabia iko kwenye hiyo familia! Inashangaza sana anasema, kwani wazazi wao ni watu wa dini sana, huyo baba yao ni mzee wa kanisa na ni watu wenye uwezo kifedha na elimu nzuri.
Huyo dada mkubwa aliyeachwa na mchumba, alikuwa analala na kaka yake wakati yeye (dada) akisoma chuo kikuu, kaka yake alikuwa anamfuata bwenini analala huko, na wasichana wenzake ndio walioanza kumgundua. Sasa jamaa yangu baada ya kusikia kuhusu hii ya dada mkubwa, akahisi huenda ni ugonjwa, si bure.
Zaidi ya kashfa za kulala na kaka zao, hao mabinti wa huyo mzee ni watulivu sana kwa sura, tabia, mienendo na hata mavazi yao, kwa ujumla katika muonekano wa nje ni wacha-Mungu kama wazazi wao. Anasema hajawahi kumwona, kumhisi wala kusikia popote kuwa mkewe ana uhusiano wa kimapenzi na mtu yeyote, hadi siku hiyo alipokuta kituko hicho. Wana miaka 2 kwenye ndoa na mtoto wa mwaka 1.
Nauliza wataalamu, ati kuna ugonjwa kama huo? Na kama upo, tiba yake ni nini?
Hapo kumesha haribika.
Ilafu siku hizi sijui kamdudu gani kameingia!
Msitake kusingizi a haringumu ya maisha ndio chanzo mie NAKATAA....Kabisa!
Kwanini nakataa...!
Kwa wazee wenzangu ambao mmezariwa siku nyingi huko vijijini na hata hapa Dar hivi kulikua na nyumba ya vyumba sita nyuma kama sio MSONGE tu kwa wale wa vijiji?
Kwa wale tulio zaliwa hapa Mzizima hasa wa wale wa Sinza mnakumbuka kulikua na nyumba zile za bati,yaani juu bati chini bati zilikua zinaitwa SULU SUTI (FULL SUIT)homo sawa na kua ndani ya msonge yani njee kama nyumba ndani Bwalo halina vyumba wala nini baba,mama na watoto wote wakike na kiume wanalala sehemu moja na fully maadili yalikuwepo.
Sasa sikuhizi watu wanalala vyumba tofauti alafu hayo yanatokea eti mnasingizia hali ngumu wakati mnalala kwenye magodoro kila mtu na chumba chake!please embu kuweni serious na mrete hoja sio hiyo ya hari ngumu.
Hayo ni mambo ya kisaikolojia,na huwa zinatokea nyingi tuu,kama baba na mtoto kufanya mapenzi zipo nyingi tuu,mimi kuna mzee mmoja namjua,anamahusiano ya kimapenzi na binti zake wawili,mke wake kakimbilia Sweden,binti mmoja keshampa mimba na huyo mwingine keshahongwa gari na baba yake,sasa hapa ukitaka kuoa hiyo mahali itapokelewa kweli?