Kaka mtu

Kaka mtu

Wanawake wengi wanaochanganya bro na dogo wananenepa thighs, nawe kula vyote unenepe!
 
huyu naye?
utoto bwana kazi kweli kweli
 
nimekutana nae fb sikujua kama ni kaka wa boyfie, kutokana na fake names hizi, basi tukachat chati wee mpaka kanizoea, kama wasemavyo wakikaa watu wawili peke yao shetani anakua wa tatu wao, basi kaka watu akajikuta kafall, sio utani mwanzo alikua haingii fb kivile bt nw 24/7 hadi nafanya kumfukuza akalale,, after sometime nkajua kama ni ndugu na mtu wangu, bt sikumwambia tukaendelea na urafiki wetu, kaka wa watu yupo mkoani anataka kuja tuonane, nashindwa nianzie wapi kumwambia kua am invoved wt his lil bro, naogopa ataniona muongo and hell stop trusting me,, niko njia panda,, I dnt want to lose hz friendshp

Iyo RED....hapo ndipo ulipo udhaifu wenu nyie viumbe!!sasa U dont want to lose his frndshp then do u want to lose the one You Love??
 
nimekutana nae fb sikujua kama ni kaka wa boyfie, kutokana na fake names hizi, basi tukachat chati wee mpaka kanizoea, kama wasemavyo wakikaa watu wawili peke yao shetani anakua wa tatu wao, basi kaka watu akajikuta kafall, sio utani mwanzo alikua haingii fb kivile bt nw 24/7 hadi nafanya kumfukuza akalale,, after sometime nkajua kama ni ndugu na mtu wangu, bt sikumwambia tukaendelea na urafiki wetu, kaka wa watu yupo mkoani anataka kuja tuonane, nashindwa nianzie wapi kumwambia kua am invoved wt his lil bro, naogopa ataniona muongo and hell stop trusting me,, niko njia panda,, I dnt want to lose hz friendshp

Hivo unataka kudhani wote hapa tuna akili kama zako?

Kama hujaitunga hii story,huyo jamaa amekutongoza ukakubali na ulimwambia huna mtu

Ndo maana unasema atakuona mwongo

Kwanini unajali sana kuhusu urafiki?

Sisi ni waafrika ukimdanganya rafiki yako siyo ishu

Eti sitaki kuupdteza urafiki wangu na!!!!!!!!!!!!

Wewe sema tu ukweli umeshamegwa huko

Au umetunga hii!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kiswahili usikijue wakati wewe ni mswahili kabisa,sema hii lugha ngeni ndio inakutatiza hebu rudia kusoma post zako utaona makosa mengi ya grammar.Kama vp ni PM ni ku boost kwenye hii lugha:help:
 
nimekutana nae fb sikujua kama ni kaka wa boyfie, kutokana na fake names hizi, basi tukachat chati wee mpaka kanizoea, kama wasemavyo wakikaa watu wawili peke yao shetani anakua wa tatu wao, basi kaka watu akajikuta kafall, sio utani mwanzo alikua haingii fb kivile bt nw 24/7 hadi nafanya kumfukuza akalale,, after sometime nkajua kama ni ndugu na mtu wangu, bt sikumwambia tukaendelea na urafiki wetu, kaka wa watu yupo mkoani anataka kuja tuonane, nashindwa nianzie wapi kumwambia kua am invoved wt his lil bro, naogopa ataniona muongo and hell stop trusting me,, niko njia panda,, I dnt want to lose hz friendshp

We twnga kote kote l...
 
Kiswahili usikijue wakati wewe ni mswahili kabisa,sema hii lugha ngeni ndio inakutatiza hebu rudia kusoma post zako utaona makosa mengi ya grammar.Kama vp ni PM ni ku boost kwenye hii lugha:help:


Thank you for the offer but no thank u

Language is not my area of expertise so hainipi shida


Come we talk about theory of relativity or how the human body works

Ndo tutasomana

Otherwise thnx 4 da offer again


Btw kuzaliwa tzee doesn't make me a mswahili
 
Hivo unataka kudhani wote hapa tuna akili kama zako?

Kama hujaitunga hii story,huyo jamaa amekutongoza ukakubali na ulimwambia huna mtu

Ndo maana unasema atakuona mwongo

Kwanini unajali sana kuhusu urafiki?

Sisi ni waafrika ukimdanganya rafiki yako siyo ishu

Eti sitaki kuupdteza urafiki wangu na!!!!!!!!!!!!

Wewe sema tu ukweli umeshamegwa huko

Au umetunga hii!!!!!!!!!!!!!!!!




Loh usicatch mafeelings mtu wangu

Utajistresisha bureee

Biliv wat u want
 
kama bado uko under 30.. we mpe mzigo kaka mtu, vilevile mpe na mdogo mtu...we bado maji moto kula raha bwana but ucheze kama trafick usije ukagonganisha magari coz ajali yake haponi mtu hapo. kama hao ndgu hawajachinjana na damu yao ikawa juu yako basi jua watakuchinja wewe. usihofu kuwagawia wote HUJAWAHI KUONA MUVIE INA MASTERLING WAWILI WEWE. KACHECK EXPENDABLES MASTERLING KIBAO SO IKO HV ( KAKA+MDOGO+ HAO WENGINE )=MASTERLING VS (ADUI=WEWE) UTAPIGIKAJE HAPO
 
kama bado uko under 30.. we mpe mzigo kaka mtu, vilevile mpe na mdogo mtu...we bado maji moto kula raha bwana but ucheze kama trafick usije ukagonganisha magari coz ajali yake haponi mtu hapo. kama hao ndgu hawajachinjana na damu yao ikawa juu yako basi jua watakuchinja wewe. usihofu kuwagawia wote HUJAWAHI KUONA MUVIE INA MASTERLING WAWILI WEWE. KACHECK EXPENDABLES MASTERLING KIBAO SO IKO HV ( KAKA+MDOGO+ HAO WENGINE )=MASTERLING VS (ADUI=WEWE) UTAPIGIKAJE HAPO

Hahahaha umenifurahishaje, lkn nnavyowajua wanapendana sana, hapo ntachijwa mm asee
 
kwaio angekua sio bro wa boyfrend wako..ungeshampa mzigo huo au sio...hahahahaha??
 
Back
Top Bottom