Kaka mtu

Kaka mtu

Hilo tuu, weka foleni subiri zamu yako ifike, hakikisha unaattach wallet na Atm card
 
Binti unaonekana mwingi wa habari...ukikutana na mwanaume serious aliyeamua kuwekeza kisha ukaja na hizi zako hutaacha kufanyiwa wanachofanyiana wana apolo Arusha
 
we mtoto mbona huishi vituko....!??
 
Binti unaonekana mwingi wa habari...ukikutana na mwanaume serious aliyeamua kuwekeza kisha ukaja na hizi zako hutaacha kufanyiwa wanachofanyiana wana apolo Arusha


Wana apolo ndo kina nani cjakusoma
 
Dada zako wameshajitambua seem bado uko descent...Nikiona mwanaume mwenzangu anageuzwa mjinga nafikiria km ni mimi....unahitaji kumwajiwa tindikali
 
Kizungu huyu binti anakipenda lakini bado kinamsumbua,Ila utakifahamu tu usijali.Halafu hiyo tabia ya kuwa na wanaume wengi ni sifa mbaya kwako jirekebishe.
 
Kizungu huyu binti anakipenda lakini bado kinamsumbua,Ila utakifahamu tu usijali.Halafu hiyo tabia ya kuwa na wanaume wengi ni sifa mbaya kwako jirekebishe.


Hahaha ungesema cjui kiswahili ningekuelewa
 
Nahc wewe ni malaya..maana post zako.
 
Ujana maji ya moto! Subiri ukikua utajua mchele upike wapi na maharage uunge nini! Kwasasa endelea kurukaruka tu ndo ujana huo usipofanya sasa utajarudia uzeeni.
 
Nahc wewe ni malaya..maana post zako.




Alaf ishu za kuitana mal.aya mtandaoni sio
kabisa, unajua dada zako wanamegwwa na
wangapi huko kitaa, btw u.ma.la.ya sifa ya
kike, hata mama yako .mala.ya we unahic
kama sio umala*a alikupataje?? ----- we
 
Ujana maji ya moto! Subiri ukikua utajua mchele upike wapi na maharage uunge nini! Kwasasa endelea kurukaruka tu ndo ujana huo usipofanya sasa utajarudia uzeeni.



Wacha weee!!!! Umesomeka mkuu
 
Back
Top Bottom