Kupevuka kwa Akili kunaanzia miaka mingapi mkuu?Miaka 19 bada akili yake ilikuwa haijapevuka vya kutosha, lakini kwa sababu uliwachoka wale wa size yako ukaamua kufuata vitoto , basi inabidi uwajibike, huwezi sema nyama nguruwe haramu wakati mchuuzi unakunywa . Pole sana kijana , jiandae kuitwa kwenye dawati la jinsia
Na mwenyewe nina mpango wa kumkatalia ila mtoto nitalea
Hiyo ndio Habari mzee. Nashukuru amenipatia mtoto wa Kiume
Ndio mkuu kwani haiwezekani?