GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,848
- 109,552
Narudia tena kusema enyi Kaimu Viongozi wa Simba SC Salim Abdallah a.k.a try again na mwenzako ' Mtani ' wangu wa Kihaya Idi Kajuna a.k.a tajiri kijana nawapa muda wa Saa 24 au 48 tu zijazo waambieni ukweli wana Simba SC kuhusu Wachezaji Haruna Niyonzima na Aishi Manula kabla sijaja humu na taarifa ya ukweli kabisa kuhusu wao na jinsi mnavyotudanganya kila uchao.
Semeni ukweli ili muwe huru.
Nawasilisha.
Semeni ukweli ili muwe huru.
Nawasilisha.