GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,606
- 108,978
" Wasemaji wakuu Kikatiba na Kiutendaji ndani ya Yanga SC ni Mwenyekiti, Katibu au Kaimu na Msemaji kwa Maelekezo. Ninachojua Yanga SC itacheza Mechi zote ilizopangiwa na TFF na hayo maneno mengine ya Wazee na Viongozi wa Matawi si ya Klabu na yapuuzwe pia. Wazee ndani ya Yanga SC tunawatambua tu Kiheshima, ila hawako Kikatiba na Uongozi tunashangaa tulichowatuma kwenda Kukiongea si hiki ambacho wamekiongea na badala yake sasa wameharibu zaidi "
Chanzo: EFM Sports Headquarters leo.
Haya sasa wale Wanayanga ' Visokolokwinyo ' mliopo hapa mliokuwa mkiwaunga mkono Wazee kwa ' Upuuzi ' wao na ' Njaa ' zao njooni mumpinge Kaimu Katibu Mkuu wenu Yanga SC Haji Mfikirwa.
Chanzo: EFM Sports Headquarters leo.
Haya sasa wale Wanayanga ' Visokolokwinyo ' mliopo hapa mliokuwa mkiwaunga mkono Wazee kwa ' Upuuzi ' wao na ' Njaa ' zao njooni mumpinge Kaimu Katibu Mkuu wenu Yanga SC Haji Mfikirwa.