unabadili topic buree.Chagademus mmeshabadili gia kama kawaida yenu, mwanzo mlimpongeza Uhuru kwa ushindi na kipenzi chenu EL alijipeleka kushiriki kampeni. Pili mlimuita Uhuru ni Baba Wa DOMOKRASIA lakini leo mahakama imemuona ni MWIZIKRASIA. Sasa baada ya kuona mmeumbuka ndani ya muda mfupi mmeanza kusifia na kupongeza Mahakimu lakini wakati Aliyefungua kesi Raila Odinga mnamruka kama kinyesi sababu tu ni swahiba wa kitambo na JPM ambaye mnakesha kumpinga hadhari wakati ndani ya Mioyoni yenu mnamkubali. Hahaahaahaaa
Kesi zenye kuhusu mambo ya siasa moja kwa moja huwa haziamuliwi kwa faida ya watanzania hata siku moja. Nakumbuka wakati fulani Mtikila alikuwa anapinga uchaguzi wa Ludewa kufanyika hukumu ilitolewa Ijumaa jioni na uchaguzi unafanyika Jumapili. Unapotoa hukumu kama hiyo lengo lako ni nini hasa?Mbona Lissu anaposhinda kesi dhidi ya Serikali mnatoka povu na kumsifia yaani mnasahau kusifia mahakama iliyotoa hukumu?
Ibara ya 74 (12) inasemaje?Odinga alijipanga vizuri,
Kukusanya formu za matokeo na kuwa na evidence documents siyo kazi ndogo.
Watanzania tatizo siyo tume,
Wasimamizi wengi wa uchaguzi vituoni,huwa hawako serious na mambo ya msingi ya nayo weza kuthibitika.
Nafikiri tukubari kiwango chetu cha Elimu ni tatizo la msingi.
Mahakama haiwezi kukataa ushahidi ulioshiba na vielelezo........
Acheni kuwasema sana majaji wetu kwani bado hatujawajaribu na kesi zenye vielelezo......
Mbona ubunge wanatengua?
Tundu lisu anashinda kesi kwasababu hua anazingatia vigezo na masharti.Tena sasa hivi wanaiponda mahakama ya tanzania wakati kamanda wao Lissu akiwa na kesi kule ikatokea anashinda basi Huipongeza mahakama wakisema inatoa haki.
Huyu Jaji wetu ni le Profeseri kama Lipumba wakati yule wa Kenya ana Masters tu ila anajua anachokifanya
hatuna jaji mkuu tuna koti tu pale mahakamani.
CJ Maranga carpet bombs smiling! Nimempenda bure.God bless illustrious Maranga.Huyu Jaji wetu ni le Profeseri kama Lipumba wakati yule wa Kenya ana Masters tu ila anajua anachokifanya
Kakubali kufuata maagizo toka mamlaka nyingine aka mhimili na kuweka weredi kandoProf Juma kafanya kosa gani kiuhalisia?
Tumuogope mungu
Mahakama ya za Tanzania ni kivuli cha watawala wa ccm wala sio chombo cha utoaji haki ila ni chombo kinachopokea maagizo kutoka juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitujumuishe wote mkuu, ni kosa au mapungufu ya wapuudhi wengi Wa waliokuwa wabunge Wa bunge la katiba yaani wale jamaa waliopendekeza katiba pendekezi ingekuwa mimi wote wanastahili kunyongwa wamfate spika wao aliyetangulia MbeleDu! Siyo kosa lake ni suala la mapungufu ya jamii yetu!
Kukubali kuendelea na cheo bandia tukiijua sote kwamba ana elimu na uzoefu wa kutosha wa kazi hiyo.Prof Juma kafanya kosa gani kiuhalisia?
Tumuogope mungu
Vpi kuhusu kufungua shauri la kupinga matokeo ya uraisi katika mahakama zetu za Tanzania?Odinga alijipanga vizuri,
Kukusanya formu za matokeo na kuwa na evidence documents siyo kazi ndogo.
Watanzania tatizo siyo tume,
Wasimamizi wengi wa uchaguzi vituoni,huwa hawako serious na mambo ya msingi ya nayo weza kuthibitika.
Nafikiri tukubari kiwango chetu cha Elimu ni tatizo la msingi.
Mahakama haiwezi kukataa ushahidi ulioshiba na vielelezo........
Acheni kuwasema sana majaji wetu kwani bado hatujawajaribu na kesi zenye vielelezo......
Mbona ubunge wanatengua?
Tanroad kutoheshim AGIZO LA MAHAKAMA KIMARAProf Juma kafanya kosa gani kiuhalisia?
Tumuogope mungu
Uhalisia gani unaoutaka, huoni kageuzwa mwanasesere? Jaji gani anaelekezwa cha kufanya na muhimili mwingine? Mpaka anaagizwa kuhamisha mahakimu bado amekaa kwenye kiti hicho anasubiri nini?Prof Juma kafanya kosa gani kiuhalisia?
Tumuogope mungu
Uhalisia gani unaoutaka, huoni kageuzwa mwanasesere? Jaji gani anaelekezwa cha kufanya na muhimili mwingine? Mpaka anaagizwa kuhamisha mahakimu bado amekaa kwenye kiti hicho anasubiri nini?Prof Juma kafanya kosa gani kiuhalisia?
Tumuogope mungu