Na hasa wasomi!Kumbe wazungu wangeamua kusomesha watu wengi hii nchi isingepata kabisa Uhuru!Siwaamini wasomi wa nchi hii maana wengi wao wako brain washed kabisa na elimu yao na kuwafanya wawe wapumb.avu zaidi.Du! Siyo kosa lake ni suala la mapungufu ya jamii yetu!
Ni jamii nzima kwani hata hao wasomi ni zao la jamii yetu!Na hasa wasomi
Hapa wa kusifiwa siyo Odinga aliyepeleka kesi mahakamani bali ni mahakama iliyotoa hukumu!! Na wala hoja si nani anaungwa mkono na nani bali Mfumo wa Kenya unaruhusu mahakama kuwa huru kwenye mambo makubwa kama haya ya kutengua matokeo ya ushindi wa Rais.Sasa baada ya kuona mmeumbuka ndani ya muda mfupi mmeanza kusifia na kupongeza Mahakimu lakini wakati Aliyefungua kesi Raila Odinga mnamruka kama kinyesi sababu tu ni swahiba wa kitambo na JPM ambaye
Mbona Lissu anaposhinda kesi dhidi ya Serikali mnatoka povu na kumsifia yaani mnasahau kusifia mahakama iliyotoa hukumu?Hapa wa kusifiwa siyo Odinga aliyepeleka kesi mahakamani bali ni mahakama iliyotoa hukumu!! Na wala hoja si nani anaungwa mkono na nani bali Mfumo wa Kenya unaruhusu makama kuwa huru kwenye mambo makubwa kama haya ya kutengua matokeo ya ushindi wa Rais.
Odinga alijipanga vizuri,Hapa wa kusifiwa siyo Odinga aliyepeleka kesi mahakamani bali ni mahakama iliyotoa hukumu!! Na wala hoja si nani anaungwa mkono na nani bali Mfumo wa Kenya unaruhusu makama kuwa huru kwenye mambo makubwa kama haya ya kutengua matokeo ya ushindi wa Rais.
Hatumuogopi DagoniProf Juma kafanya kosa gani kiuhalisia?
Tumuogope mungu
Kukubali mahakama kukaliwa na executivesProf Juma kafanya kosa gani kiuhalisia?
Tumuogope mungu
Kaimu jaji mkuu wa Tanzania hajielewi na hana maana. Tofauti yake na lipumba ni vipimo vya suruali tu.Pole sana Prof. Ibrahim Juma kwa kukubali Mahakama yako ichezewe chezewe ...hivi ukikaa na Jaji Maranga wa Kenya unajisikiaje? Hivi kweli wajisikia na wewe ni Jaji Mkuu? Pole sana kwa kukubali kuchezewa, kwa kukubali kuwa mwanasesere, kwa kukubali kuwa mshangiliaji..
Najua huwezi kutenda haki kwa kesi za Magufuli dhidi ya raia wengine wanyonge wanaoonewa na Ma-DC, ma-RC wakiongozwa na boss wao...basi ungechukua tu hata hatua ya kujiuzulu usikubali kugeuzwa mwanasesere shehe...i mean profesa!
Kwa kafulila ilikuwaje ?!!!Odinga alijipanga vizuri,
Kukusanya formu za matokeo na kuwa na evidence documents siyo kazi ndogo.
Watanzania tatizo siyo tume,
Wasimamizi wengi wa uchaguzi vituoni,huwa hawako serious na mambo ya msingi ya nayo weza kuthibitika.
Nafikiri tukubari kiwango chetu cha Elimu ni tatizo la msingi.
Mahakama haiwezi kukataa ushahidi ulioshiba na vielelezo........
Acheni kuwasema sana majaji wetu kwani bado hatujawajaribu na kesi zenye vielelezo......
Mbona ubunge wanatengua?
Tena sasa hivi wanaiponda mahakama ya tanzania wakati kamanda wao Lissu akiwa na kesi kule ikatokea anashinda basi Huipongeza mahakama wakisema inatoa haki.
Chagademus mmeshabadili gia kama kawaida yenu, mwanzo mlimpongeza Uhuru kwa ushindi na kipenzi chenu EL alijipeleka kushiriki kampeni. Pili mlimuita Uhuru ni Baba Wa DOMOKRASIA lakini leo mahakama imemuona ni MWIZIKRASIA. Sasa baada ya kuona mmeumbuka ndani ya muda mfupi mmeanza kusifia na kupongeza Mahakimu lakini wakati Aliyefungua kesi Raila Odinga mnamruka kama kinyesi sababu tu ni swahiba wa kitambo na JPM ambaye mnakesha kumpinga hadhari wakati ndani ya Mioyoni yenu mnamkubali. Hahaahaahaaa