Happy nation
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 679
- 597
Najua haukuwa uhuru na wa haki,ila upinzani walijisahau kuwa Tanzania ni Afrika, walitumia vibaya demokrasia kwa kutusi watu, na kupiga watu kwa kutishia nguvu ya uma nilichofurahi ni kuonyeshwa nguvu ya dola ili wawe na akili wakipewa uhuru wa kuongea miaka ingine ijayo na kiongozi mwingine kama Kikwete wawe na nidhamu.
Ilifika mahali Lema anasema atamsaidia mke wa Kikwete kwasabu mzee ana tezi dume. Hapo ndipo tulilofika hii nchi kwa kusema ni demokrasia.
Sasa serikali imebadilika haitishiki, haitukaniki na ikiamua hata ya ubunge itakuwa hivyo,walijisahau hadi kufikia mtu akivaa CCM vijana wanamzomea na kumpiga,sasa nguvu ya uma ikishindwa vumilieni.
Ilifika mahali Lema anasema atamsaidia mke wa Kikwete kwasabu mzee ana tezi dume. Hapo ndipo tulilofika hii nchi kwa kusema ni demokrasia.
Sasa serikali imebadilika haitishiki, haitukaniki na ikiamua hata ya ubunge itakuwa hivyo,walijisahau hadi kufikia mtu akivaa CCM vijana wanamzomea na kumpiga,sasa nguvu ya uma ikishindwa vumilieni.