Kahama VS Njombe/Mafinga

MKUU WA MKOA NJOMBE πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡Nilipata Pia nafasi ya kuonana na Marafiki zetu viongozi wa Shirikisho la Riadha China -Tumezungumza mengi ya kushirikiana kwenye eneo la kimichezo na wana Njombe,kwingineko tumeyazungumza na ya uwekezaji na biashara za pamoja-China ni moja ya wadau wa parachichi zetu,miradi ya chuma Maganga Matitu,uongezaji wa thamani kwenye zao letu la miti.Yapo mengi katika Mageuzi ya Uchumi wa China nimejionea na nimejifunza na kujifundisha.
 
Tunavosema mkoa wa njombe unamipango mikubwa tunamaanisha hichi chuo kina campus mbili ndani ya mkoa Kuna lunyanywi njombe na ilembula ngazi ya afya mkoa wa njombe una stimulate sub town zote kwa kujenga miundombinu muhimu kwa kushirikian na makanisa miaka si mingi mkoa wa njombe utakuwa na Jiji kubwa Sana nyanda za juu kUsini kutokana na kuziunganisha sub town zote kwa lami na uzuri tayar zimeungana pia miradi inayooenda kuchochea zaidi ni viwanda vya chuma , uwanja wa Kanda wa ndege ,bandari kavu, ujenzi wa vyuo vikuu, na ujenzi wa soko la Kanda hakika njombe inakwenda kuwa kitovu Cha uchumi nyanda za juu kUsini kama ilivyo dodoma Kanda ya kati swala ilikuwa ni Muda tu njombe eneo lake limeungana Sana kimakazi
View: https://www.instagram.com/p/DAd4R65NU_b/?utm_source=ig_web_copy_link
 
ENEO AMBALO LINAJADILIWA KUWEKWA ALAMA YA MKOA WA NJOMBE mkoa wa njombe asilimia 70 wameanza kufanikiwa kuwa na mji mkubwa nyanda za juu kUsini baada ya makazi kuungana njombe na makambako na visubtown vya ilembula na igwachanya na watafanikiwa zaidi zikimalizika project za viwanda vya chuma,ujenzi wa vyuo,ujenzi wa soko la Kanda ,uwanja wa ndege wa kanda, bandari kavu nk
 
Mji usiojulikana lakini una balaa lake πŸ‘‡πŸ‘‡KATORO
Hiyo miji ya njombe etc ina paswa ijifunze hapa πŸ’₯πŸ’₯ with a population of around 70,000 people
 
Ukitoa hilo jengo la soko njombe imeisha ,nothing attractive pamechakaa fully rusty houses
 
Ukitoa hilo jengo la soko njombe imeisha ,nothing attractive pamechakaa fully rusty houses
Asee Bora ungekaa kimya umetuletea picha za Kijiji Cha katoro Bado unakuja kuiongelea njombe kama huijui Kaa kimya maana majengo yaliyopo mkoa wa njombe geita haifiki hata nusu
Ukitoa hilo jengo la soko njombe imeisha ,nothing attractive pamechakaa fully rusty house

 
Umeanza kupost jengo moja moja ili ufiche uchafu wa njombe sio πŸ€”πŸ˜‚πŸ˜‚. Post the whole town, yaani huu nao ni mji wa kusifia kweli hivi πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ€£
 
Usiingize Geita huiwezi ,dili na KATORO just a small town lakini kwa uzuri huwezi leta miji michafu michafu kulinganisha, baada ya miaka mitano mbele katoro patakuwa na majengo makubwa sababu ni fastest growing town πŸ‘‡
 
ACha umbumbu na ww tunakwambia hivi mkoa WA geita kimajengo madhari ya mji kwa mkoa WA NJOMBE haikamati hata kidogo hata marehemu magafuli ni wageita mwaka 2019 alikili Hilo na kubaki anashangaa kuona jinsi makambako na NJOMBE zilivo ungana na makazi ya kisasa yalivo shamili ko ACha kuchunga ngombe nenda mkoa WA NJOMBE kajifunze miji inakuaje sio kutuletea vijiji VYA katoro hapa geita kwa njombe bado Sana
 
Yan unatuletea picha za ofisi za visima vya mafuta FUTA aibu HiYo Mzee njombe Ina visima vyenye ofisi kama hizo si chini ya kumi toa uchafu huo
 
Tunavo kwambia geita kwa majengo kwa njombe bado ipo nyuma naona huelewi wenzio shinyanga walisha kimbia Uzi huu mkoa wa njombe umesha iacha mikoa mingi Sana kimiundombinu upo Kasi Sana haya Sasa tupe majengo hapo geita gorofa kumi zenye floor kuanzia tano kwenda juu njombe now zipo zaidi ya kumi baadhi ni hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…