ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,307
- 88,335
- Thread starter
-
- #1,141
Wameulizwa huko,pesa ya madini inaenda wapi? hakuna jibu..Walivyo mburura hawajui kuwa tukipata pesa ya mbao ndo tunakuja kununua hayo madini yao na tunajenga kwetu.Mtu mstaarabu hawezi ishi migodini huko kumejaa wahuni wachimaji wamekata tamaa na maishaSijui hata kama unaelewa unachokisema, Inawezekana hujui kama mimi naijua biashara ya Madini, wewe unasimuliwa ila mimi nimeajiri vijana. Hii biashara haina maslahi kwa vijana walio wengi na wanaochimba, kuanzia ugumu wa kazi yenyewe na mazingira yake kwa ujumla, only a buyer makes it to the bank, na bahari mbaya wanunuzi wengi sio wazawa, na kama utaona ndugu yako anaenda huko mpe ushauri afanye kilimo cha kisasa,
Ukiangalia katika upana wake Kilimo kina impact kubwa kwa jamii kuliko Madini, ndio maana Mufindi imeendelea zaidi ya Kahama au Chunya licha ya kuwa kilo za dhahabu zinapatikana huko kila siku,
Kijana anaefanya kilimo ataendelea haraka kuliko anaechimba dhahabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nilikuwa naongezea tu kwenye maelezo ya huyo mdau halafu mbona mjadala umejaa porojo tu toka mwanzo!We want things happen on grounds sio wishful thinking na porojo mkuu..Tukianza kutaja kilichopangwa kwa kila mji hutoweza kuhimili.Tunduma pale pamejaa ma yard na malori mara kumi ya huko Kahama lakini Tunduma sio mji bora kupita Kahama au Tunduma
Sio tu kuwaaminisha ila ndio ukweli wenyewe,nimesema hapo kwamba kwa makusanyo ya ndani mwaka 2018/19 wilaya ya Mufindi(mafinga town & mufindi dc) kwa pamoja zilikusanya zaidi ya 8.7bln ,nje ya mapato ya TRA,Watu wa misitu nk..Hii ni sifa ya Mufindi miaka yoteTukiachana na kuinua mtu mmoja mmoja, Vipi uchangiaji wa mapato kitaifa? unataka kutuaminisha mufindi inachangia pato kubwa kuizidi kahama?
Muda gani na lini? weka source acha porojoHalafu sijui kwanini tu, Watu ambao unakuta elimu awana ndo uwa wanakimbilia kujitia wana elimu... Iko hivi fatilia uelewa kama mufindi imekuwa ya pili chini ya ilala kwa mara moja, Nakujuza hiyo Kahama inapishana na Ilala kwa miaka mingi tu, Kama mufindi imewahi kuwa ya pili... Kahama ishakuwa ya pili kwa muda tu!
Aya tufanye ndio hivyo,ehee hizo pesa zote zinaenda wapi maana you are so poor in every aspects..π π π ...huko gunia la viazi unachukua (let say kwa 40)...unalipeleka dar..tuseme unaweza pata 20@....sasa huku wenzako wanatengeneza kuanzia 50-80@! Tena huyo ni yule asie na mtaji...!
Sema utofauti huko wanaiheshim hela sio huku...!
Kiwanda cha nguzo za tanesco kiko mafinga nyie endeleeni tu na kujenga logisticsMkuu nilikuwa naongezea tu kwenye maelezo ya huyo mdau halafu mbona mjadala umejaa porojo tu toka mwanzo!
FYI:Logistic centers tayari ujenzi unaendelea Nyashimbi.
Tatz lako una andika kwa mapenz...
Hv unajua kahama kuna shule ngap! Una uhakika hakuna kiwanda kahama!
Ukwel ni kwamba huwez ishi kahama then utaman kuishi mufindi.
Kahama nakujua vzuri japo sio mkazi wa huko.
Mpaka hapa naona... unaongelea mapenz
...
Aya tufanye ndio hivyo,ehee hizo pesa zote zinaenda wapi maana you are so poor in every aspects..
Nyie komaeni na mjadala nilikoshwa na mchango wa huyo mdau nikaona nitie neno hapo.Kiwanda cha nguzo za tanesco kiko mafinga nyie endeleeni tu na kujenga logistics
Leta hizo takwimu hapa sio unaletea takwimu za kutoka kwenye kichwa chakoKwa maana ya towns council Kahama town(6.2 bln) iko juu lakini kwa maana ya mapato ya Wilaya nzima yaani Mafinga town(4.2bln) na Mufindi DC(4.5bln),Mapato ni Mengi kushinda Kahama,pia TRA inakusanya mapato Mengi Wilaya ya Mufindi kuliko Kahama,hizo takwimu ni za 2018/2019 kwa mapato ya Ndani ya Halmashauri
Wameulizwa huko,pesa ya madini inaenda wapi? hakuna jibu..Walivyo mburura hawajui kuwa tukipata pesa ya mbao ndo tunakuja kununua hayo madini yao na tunajenga kwetu.Mtu mstaarabu hawezi ishi migodini huko kumejaa wahuni wachimaji wamekata tamaa na maisha
Wameulizwa huko,pesa ya madini inaenda wapi? hakuna jibu..Walivyo mburura hawajui kuwa tukipata pesa ya mbao ndo tunakuja kununua hayo madini yao na tunajenga kwetu.Mtu mstaarabu hawezi ishi migodini huko kumejaa wahuni wachimaji wamekata tamaa na maisha
Wapi Takwamu? Nipe namba mbona mimi nimekupa? Na sina hakika kama kanda hiyo huwa mnaenda shule. Sina hakika kama mtu ataacha kupeleka mtoto Mbeya au Kilimanjaro au Kagera kusoma akampeleka Kahama, never heard of it.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati nzuri mie nimeishi huko hizo shule walizoweka zote nazijua kbs..zingine zilipata ufadhili kupitia dingilai...! Maisha ya wanamufindi ni.magumu asikuambie mtu..sem wenyewe wanakumbuka kujenga nyumba za mabati bora...lakini mie leo unitoe kahama unibwage huko Isalavanu nehi!
Ok...Muda gani na lini? weka source acha porojo
Nilikua na mawazo kama yako..walioko migodini wamekata tamaa ya maisha!...hahhaa....ukiorodheshewa wakubwa walioko migodini utashaa!..kifupi huko wngine ndo wamerudisha heshima zao!...usikariri aisee!
Achana nao mkuu wote hao hawajawahi kufika kahama wanapasikia tuuKuna comment moja nimekutana nayo huko mwanzoni mwanzoni huyo jamaa anasema eti kahama hakuna hospitali [emoji23]
Daaaah hata kama chuki sio hivo aisee
Kuna comment moja nimekutana nayo huko mwanzoni mwanzoni huyo jamaa anasema eti kahama hakuna hospitali π
Daaaah hata kama chuki sio hivo aisee
Kiwanda cha nguzo za tanesco kiko mafinga nyie endeleeni tu na kujenga logistics