mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Gari imegongana na bodaboda??Imetokea ajari mbaya maeneo ya Kijiji cha sungamile karibu na kata ya Kagongwa wilayani Kahama Mkoani shinyanga muda wa saa 8:30.
Ikihusisha gari la Serikali na badaboda iliyokuwa ina abiria 2 na dereva,ambapo imeua mtu mmoja papohapo na wengine wawili wako mahututi.
Chanzo Mimi mwenyewe.
View attachment 1909400
View attachment 1909402
View attachment 1909403