Ishu jamii inayoishiKama Mji sio Makao Makuu ya Mkoa hakuna mtu ana habari nao.
Makao makuu ni yepi!? Sisi ss wa mbali hajuiKama Mji sio Makao Makuu ya Mkoa hakuna mtu ana habari nao.
Ni mwendo wa bajaji na boda tu.Hivi bado mnatumia usafiri wa baiskeli kama boda boda kahama?
nimeshajiapiza nitarudi tena kahama kibiashara,kuna mema sana
Habari za leo wana jukwaa,
Kahama ni kati ya wilaya zenye mapato makubwa sana Tanzania. Kahama ni Manispaa ambayo haina barabara za mitaa za lami.
Tunaomba tuwekewe lami Barabara ya Nyakato kuunganisha asilimia mia na Barabara ya Mamaa Farida.
NIKO KAHAMA
YANI HATA HICHI KIBARABARA CHA LAMI CHA MJINI HAKINA ZEBRA WALA ALAMA YYTE MBAYA ZAIDI KUNA POTHOLES KIBAO.
NA TARURA ILIYOCHINI YA MENEJA JACOB WAKO HAPO HAPO MJINI, DC YUPO NA MKURUGENZI ILA WAMERIDHIKA SANA
nshomile
kwasasa rock point Nyasubi
Habari za leo wana jukwaa,
Kahama ni kati ya wilaya zenye mapato makubwa sana Tanzania. Kahama ni Manispaa ambayo haina barabara za mitaa za lami.
Tunaomba tuwekewe lami Barabara ya Nyakato kuunganisha asilimia mia na Barabara ya Mamaa Farida.
Kwa mkoa wa njombe now zungukia mji wa makambako ndo utaelewa wajomba walivo kupigia draft za lami za kutoShaManispaa ya kigoma ujiji pale kigoma wana barabara za mtaani za lami kuliko Ruvuma, njombe, singida, wakati ukiangalia mkoa kama njombe unamapato makubwa sana sana