Ni kama kipindi kile Simba acheze na Mtibwa kule ManunguHalafu utasikia vimefungiwa viwanja vingine huu walaaaa!
We mbwa umekaa wapKagera wasipochomoa mniite🦺🦺🦺🦺 nimekaa 🪑
Ccm ilivipora hivi viwanja vya umma na kujimilikisha.Kwani CCM Kirumba sio mali ya serikali?
Kwa kuchukua kwa mara nyingine tena vikombe vyote vya ligi.Kwa maumivu yapi mtani?.yani naona pira patu patu kabisa hili
Hahah bora umefuta maana mdomo ulimponza kichwa... tuwe na akiba ya manenoKwa kuchukua kwa mara nyingine tena vikombe vyote vya ligi.
Basi imefanya hivyo sehemu nyingi maana nilijua ni Mbeya tu kumbe hadi huko kote wamepita?Ccm ilivipora hivi viwanja vya umma na kujimilikisha.
Kuna Rais alikuja na kuaminisha wajinga wenzake kwamba yeye ni Rais wa wanyonge lakini yeye ndio anapiga msumali kabisa kwenye kuhakiki Mali za Chama hivi viwanja ni Mali ya Ccm.
Faida za kuiondowa Ccm madarakani ni pamoja na mambo kama haya viwanja vyote vya umma na shule za Wazazi zilizohodhiwa na Ccm wakati ni Mali ya umma zitaifishwe na kumilikiwa na serikali.
Nyerere alipoingia madarakani amefanya utaifishaji hata kwa Mali za taasisi binafsi na watu binafsi mpaka Mali za kanisa lake katoliki alitaifisha.
Diarra ndo alipaswa kupewa uraia na sio KibuDiarra kaucheza ule mpira aisee
Huyu kipa leo kanikosha anastahili kupewa credits
Viwanja vyote vya mikoa mikongwe unayoijua wew iliyokuwepo since 1990's ni Mali ya ccm.Basi imefanya hivyo sehemu nyingi maana nilijua ni Mbeya tu kumbe hadi huko kote wamepita?
Bahati Mbaya upo uwezekano hujawahi kucheza mchezo wowote unao tumia nguvu.Na leo mbona hamjafunga mabao mengi? Si mlikua mnatushangaa jana yani Mmehangaika sana leo. Au ndo mnasingizia mvua mbona kagera waliposses mpira na mvua yote hyo
Kibu kazingua sana kwenye mechi 4 za mwisho kacheza hovyo mpaka kuna muda nikawa najiuliza hivi huyu ni Kibu au Mayele?Diarra ndo alipaswa kupewa uraia na sio Kibu
Kweli ligi ni dhaifu yaani team imecheza mechi chache ina ongoza ligiKafungwa Kagera sugar ila wenye maumivu ni makolo, karia & CO
Diara The KamikazeDiarra kaucheza ule mpira aisee
Huyu kipa leo kanikosha anastahili kupewa credits
Nyani (luc emayel) anapomuita binadamu MbwaWe Mbwa
Nyani (luc the great) wanapo ita mtu MbwaWe mbwa umekaa wap
Vipi na wew unatamani kuitwa mbwa?Nyani (luc the great) wanapo ita mtu Mbwa