Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
WanaJF,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Matukio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kagera. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.Mgawanyiko wa Idadi ya Watu kwa Majimbo ya Uchaguzi Mkoa wa Kagera; Ramani ya Sensa ya Watu na Makazi ya 2022
Mkoa wa Kagera upo Kanda ya Ziwa katika Tanzania na ni maarufu kwa shughuli za kilimo na ufugaji, pamoja na Uvuvi. Mkoa huu una historia ya utajiri wa Ndizi na Kahawa. Madini yanayopatikana Mkoa wa Kagera ni Pamoja na chuma: dhahabu, bati ghafi, wolframite (WO3), Nickel, Manganese n.k
Idadi ya Watu
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Kagera ni 2,989,299; wanaume 1,459,280 na wanawake 1,530,019.Mkoa huu una Halmashauri nane (8) na majimbo ya uchaguzi tisa (9) ambapo Jimbo la Biharamulo Magharibi linaongoza kwa kuwa na watu wengi (457,114) likifuatiwa na Jimbo la Muleba Kusini (watu 442,652). Jimbo lenye idadi ndogo ya watu ni Bukoba Mjini ambalo lina watu 144,938, huku ukiwa na wilaya 8.
Idadi ya Majimbo ya Uchaguzi
Mkoa wa Kagera una jumla ya majimbo 9 ya uchaguzi:- Jimbo la Karagwe
- Jimbo la Bukoba Vijijini
- Jimbo la Bukoba Mjini
- Jimbo la Muleba Kaskazini
- Jimbo la Muleba Kusini
- Jimbo la Biharamulo
- Jimbo la Ngara
- Jimbo la Kyerwa
- Jimbo la Nkenge
Mkoa wa Kagerra ulishiriki kikamilifu katika uchaguzi wa Rais, Wabunge, na Madiwani ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiliibuka na ushindi mkubwa katika maeneo mengi ya mkoa huo.
Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Hayati John Pombe Magufuli, alipata kura nyingi zaidi kulinganisha na wapinzani wake.
Katika uchaguzi wa Ubunge, wagombea wengi wa CCM walishinda kwa kura nyingi dhidi ya wapinzani wao huku wakiwa na ushindi wa 100% kwa kuchukua majimbo yote Tisa
Uchaguzi wa Madiwani, (CCM) walipata ushindi mkubwa kwenye nafasi za madiwani ikifanikiwa kushinda kata nyingi. Hii ilitokana na upinzani kukumbwa na changamoto nyingi, zikiwemo wagombea wao kuenguliwa kutokana na matatizo ya kisheria au kutokidhi vigezo
Kulikuwa na malalamiko kutoka kwa vyama vya upinzani kama vile CHADEMA na ACT-Wazalendo kuhusu kutokuwepo kwa uwazi na haki katika mchakato wa uchaguzi.
Updates
February
- Pre GE2025 - Askofu Bagonza ataka walimu wasio na ajira (NETO) wasikilizwe na siyo kukamatwa na kutishwa
- Pre GE2025 - Vijana Kagera wahamasishwa kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025
- Pre GE2025 - Vijana Kagera wahamasishwa kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025
- Pre GE2025 - Mbunge Bukoba Mjini: Bilioni 47 kutumika ujenzi wa soko kuu la kisasa la Manispaa ya Bukoba
- Pre GE2025 - Sekretarieti ya CCM mkoa yawataka Wazee wilaya ya Missenyi kuchagua viongozi wanaokubalika
- Pre GE2025 - Kamati yapitisha shauri la Jimbo la Missenyi kubadilishwa jina na kuwa Jimbo la Nkenge ili kuleta "muunganiko" wa kiutawala
- Pre GE2025 - Mwenyekiti wa UVCCM Kagera: Mtaa hautaki digrii wala PhD ili mtu aonekane kijana mchapa kazi
- Pre GE2025 - Mwenyekiti UVCCM Kagera: Wananchi wa Kata ya Kibingo acheni tabia ya kuwachagua viongozi wa vyama vya upinzani
- Pre GE2025 - VIDEO: Innocent Bashungwa alivyomsaidia mtoto huyu kumtwisha dumu kichwani baada ya kuwakuta wakichota maji
- Pre GE2025 - Mwenyekiti wa UVCCM Kagera apongeza kauli mbiu mpya ya CCM "Kazi na Utu Tunasonga Mbele"
- Pre GE2025 - Zainab Katimba: Serikali imetoa bilioni 1.8 kuendeleza Ujenzi wa Hospitali ya Muleba
- Pre GE2025 - Mwenyekiti wa CCM Kagera: Mtaa hauhitaji digrii na PHD na watu wenye vyeti pekee, mtaa unahitaji ujuzi
- Pre GE2025 - Kamati yapitisha shauri la Jimbo la Missenyi kubadilishwa jina na kuwa Jimbo la Nkenge ili kuleta "muunganiko" wa kiutawala
- Pre GE2025 - Kagera: Wanafunzi wa Kidato cha Tano na Sita wamshukuru Rais Samia kutenga bilioni nne ujenzi shule ya wasichana
- Pre GE2025 - Mbunge Neema Lugangira atoa msaada wa rangi Msikiti wa Matopeni Kashai
- Pre GE2025 - M/Kiti UVCCM Kagera: Vijana acheni kuwa wasindikizaji, gombeeni nafasi uchaguzi mkuu 2025
- Pre GE2025 - Kagera: RC Mwassa asema soko jipya la Manispaa litakuwa tayari baada ya mwaka, stendi mpya ujenzi kuanza Mei
- Pre GE2025 - Kagera: Samia New Voters Campaign (SANEVO) yafikia wananchi wa Mazinga, Muleba
- Pre GE2025 - Wasira: Mbowe hajaaga dunia bali "yupo anauguza vidonda vilivyotokana na matusi wanaCHADEMA
- Pre GE2025 - MNEC Ussi: Lissu asitugawe sote ni Watanzania
- Pre GE2025 - Dkt. Tulia kuijengea nyumba familia yenye uhitaji Kyela, atoa msaada wa chakula na mavazi
- Pre GE2025 - Wasira: Kagera fugeni Ng'ombe mpate fedha za kujikimu
- Pre GE2025 - Wasira: CCM inakuja na ilani yake ya uchaguzi mkuu , ambayo itakuwa na majawabu ya changamoto mbalimbali za vijana
- Pre GE2025 - DSM - Askofu Bagonza: Sitaki kumwambia Mtu kajiandikishe, kama ana imani na Mfumo wetu wa Uchaguzi akajiandikishe, kama hana basi aache
- Pre GE2025 - Wasira: Wapinzani watafaidika kama chaguzi zetu zitakuwa za Rushwa
- Pre GE2025 - Mbunge Bukoba Vijijini: Serikali imetoa bilioni 106.4 kutekeleza miradi ya maendeleo
- Pre GE2025 - Askofu Bagonza awajia juu Mwijaku, Makalla asema 'Mnaiunga mkono No Reform, No Election bila kujua'
- Pre GE2025 - Stephen Wasira: Wanaogawa hela nawajua, Wapinzani watafaidika kama chaguzi zetu zitakuwa za Rushwa
- Pre GE2025 - MNEC Ndele Mwaselela: Hakuna wa kushindani na Rais Samia kwenye uchaguzi 2025
- Pre GE2025 - Askofu Bagonza: Agenda ya Mageuzi ni ya Taifa zima, isimilikiwe na chama
- Pre GE2025 - MNECM CHADEMA na mgombea wa ubunge 2020 katika jimbo la Biharamulo, Mbelwa Petro ahamia CCM na kukabidhiwa kazi na mzee Wasira
- Pre GE2025 - UVCCM Kagera wachangisha Shilingi Millioni 12 kwa ajili ya mradi wa vijana Mkoa
- Pre GE2025 - Rais Samia atoa mkono wa Eid kwa watoto yatima Kagera
- Pre GE2025 - Kagera: Viongozi wa Dini wamtaka Tundu Lissu aache Uchochezi, walaani vikali kauli za kuamsha Uasi
- Pre GE2025 - Mbunge Ndaisaba Ruhoro Atimiza Ahadi ya Kompyuta - Mabawe Sekondari
- Pre GE2025 - Ndumbaro aipiga kijembe 'No refoms No electon' asema waliopanga kuweka mpira kwapani waweke tu ila mechi haiahirishwi
- Pre GE2025 - Ndumbaro anaposema Samia Legal Aid siyo bure ni kwamba wote tumelipiwa na Rais anamaanisha hizo hela zinatoka mfukoni mwake ama?
- Pre GE2025 - Dkt. Ndumbaro: Watanzania puuzeni wanaowashawishi msishiriki uchaguzi
- Pre GE2025 - Mwl Mbelwa Petro aikacha CHADEMA kabla ya uchaguzi mkuu
- Pre GE2025 - Aliyoyafanya Rais Samia na mbunge Ezra John kwa ajili ya Biharamulo na Tanzania, acha siasa iwe upendo
- Pre GE2025 - Waziri Bashungwa: Watu walichanga 2020 ili niwe mbunge wa kipindi kimoja kusudi ufisadi uendelee ushirika
- Pre GE2025 - Mwenyekiti wa UVCCM Kagera: Msitupangie cha kuzungumza kuhusu Rais Samia
- Pre GE2025 - M/Kiti UVCCM Kagera: Simamieni maslahi ya vijana siyo kupiga makofi tu
- Pre GE2025 - Tetesi za RC Kagera Fatuma Mwassa kugombea Ubunge Bukoba Mjini CCM zimeanza kuleta mgawanyiko Bukoba
- Pre GE2025 - John Mnyika: Waliojivua unachama wa CHADEMA, tuliwaita ila wakasema tuwaache wapumzike
- Pre GE2025 - Dkt. Lwaitama awashangaa G55, awapa dongo zito, "No reforms, No election"
- Pre GE2025 - Lema: Nyie wananchi ndiyo chanzo cha maisha kuwa magumu
- Pre GE2025 - Dayosisi ya Karagwe walaani vikali kuhusu vitisho dhidi ya Askofu Bagonza, wasema wanasimama na Bagonza kuwasemea wasio na sauti ya kujisemea
- Pre GE2025 - Askofu Bagonza: Nimepokea taarifa kuwa 'Wasiojulikana' watakuja kunimaliza
- Pre GE2025 - Dkt. Slaa: Tulivyokuwa njiani OCD alitaka kutupitisha njia ya porini tukakataa
- Pre GE2025 - Deogratius Mahinyila: Polisi watuambie nani anahusika watu kutekwa nchini
- Pre GE2025 - John Heche: Wanaoondoka CHADEMA ni matokeo ya mabadiliko ya uongozi, si ubaguzi
- Pre GE2025 - Heche: Wale G55 wanaenda Chama kingine ili ionekane Chadema imekufa, sisi hatununuliki
- Pre GE2025 - Makalla: Wanasema wakishika nchi watawalipa Watanzania pensheni, sasa huendi kwenye uchaguzi utashikaje nchi?
- Pre GE2025 - Mwenyekiti UVCCM Kagera: Siasa siyo mchezo wa jando na unyago
- Pre GE2025 - Mwenyekiti TUCTA akemea wanasiasa wanaowasemea watumishi wa Umma
- Pre GE2025 - Diwani aeleza Ujenzi wa barabara ya Nyakahanga – Nyabiyonza – Masheli unavyonufaisha wananchi Karagwe
- Pre GE2025 - Askofu Bagonza: Njia pekee ya kulinda kura yako kwa wivu mkubwa ni kukaa nayo mwenyewe ila ukiiweka tu kwenye box la kura ushaliwa tayari''
- Pre GE2025 - Mbunge Ezra Chiwelesa Awasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Biharamulo kwa Wajumbe wa Halmashauri ya CCM Wilaya
- Pre GE2025 - Biharamulo: Wanachi kata NYAMIGOGO wanafurahia umeme chini ya uwakilishi wa Eng Ezra John Chiwelesa
- Pre GE2025 - Sasa ni rasmi Mbelwa Petro amechukua fomu ya kuwania kiti cha Udiwani Kata ya Ruziba wilayani Biharamulo kupitia CCM
- Pre GE2025 - Florent Kyombo amechukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la Missenyi
- Pre GE2025 - Ndaisaba George Ruhoro atinga na baiskeli kuchukua fomu ya kutetea ubunge jimbo la Ngara
- Pre GE2025 - Kukubalika kwa Eng Ezra Chiwelesa kumemfanya aweze kujaza na kurudisha fomu ndani ya saa 24 jimbo la biharamulo magharibi
- Pre GE2025 - Gwiji wa uchumi Dkt. Bravious Kahyoza atia nia ubunge jimbo la Muleba Kusini
- Pre GE2025 - CDE Samira Khalfan Amour achukua fomu ubunge wa viti maalum Kagera
- GE2025 - Kigogo wa ACT Wazalendo atua CHAUMMA
- GE2025 - KKKT Dayosisi ya Karagwe yatangaza jumapili ya Agosti 31, mitaa yote ifanye maombi kuenzi haki na amani
- GE2025 - Mgombea urais unaanza kujadili mpira kwenye kampeni badala ya kunadi sera zako watu wakuskilize, hivi CHAUMMA mnatuonaje wananchi?
- GE2025 - Mwenyekiti UVCCM Kagera: Maneno tumepita bila kupingwa yanaweza kuwa sumu kupunguza kura za Chama chetu
- GE2025 - Faris: Octoba 29 hakuna mende hata mmoja atabaki kabatini
- GE2025 - Salum Mwalimu: CHAUMMA hakuna atakayenyanyaswa kwa sababu ya uraia
- GE2025 - Faris Buruhani: Maandamano ya Oktoba 29 yaishie Mitandaoni, Bukoba UVCCM hatutawaachia Polisi, tutashughulika nao
- GE2025 - Faris Buruhani: Haupewi uongozi CCM kama hujajaribiwa au kupimwa
- GE2025 - Bashungwa: Hakuna chama zaidi ya CCM chenye uzoefu wa kuongoza nchi yetu bila kuingia kwenye machafuko ya kivita
- GE2025 - Bashungwa: Uongozi wa Rais Samia, Karagwe imekuwa kama Switzerland kutokana na ujenzi wa miradi mikubwa
- GE2025 - Hussein Bashe: Tutauza sukari nje kwa sababu ni biashara na sio huduma
- GE2025 - Rais Samia aahidi Kukamilisha Ujenzi wa Tawi la UDSM Kagera
- GE2025 - RC Kagera: Kuna watu wanasema nasapoti ACT Wazalendo niseme wasiwadanganye. Nimezaliwa CCM nitafia CCM
- https://www.jamiiforums.com/threads...ngine-kupata-haki-yao-ya-kupiga-kura.2395460/
- GE2025 - Kagera: Viongozi wa CHADEMA washikiliwa na Polisi kwa kuchochea vurugu
Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025
- Mkoa wa Kagera
Jimbo la Biharamulo Magharibi
1. Eng. Ezra John CHIWELESA
2. Benedict Simon KIPEJA
3. Oscar Rwegasira MUKASA
4 Anatory Kasazi CHOYA
5. Dkt. Magnus Rutakulemberwa BANYIKILA
6. Sada Abubakari KARABAKI
(ii) Jimbo la Bukoba Mjini
1. Almasoud Daud KALUMNA
2. Alex Denis MUGANYIZI
3. Jamila Hassan EMILY
4. Johnston Johansen MUTABINGWA
5. Koku Fatuma RUTTA
(iii) Jimbo la Bukoba Vijini
1. Jasson Samson RWEIKIZA
2. Asted William MPITA
3. Falis Athumani BURUHANI
4. Edmund Emmanuel RUTARAKA
5. Fahami Matsawily JUMA
6. Philibert Francis BAGENDA
(iv) Jimbo la Karagwe
1. Innocent Lugha BASHUNGWA
2. Princepius Sabinian RWAZO
3. Adolf Andrew LWANTUNGAMO
4. Devotha Obadia ALEXANDA
5. Confort Mugisha BLANDES
6. Akida Augustinio MNYAMBO
(v) Jimbo la Kyerwa
1. Khalid Mussa NSEKELA
2. Speratha Fabian MARCO
3. Innocent Sebba BILAKWATE
4. Maxon Binomtonzi BARITHAZARY
5. Stephen Edward KATEMBA
6. Benedicto Mutachoka MUTUNGIREHI
(vi) Jimbo la Misenyi
1. Projestus Kweyamba TEGAMAISHO
2. Florent Laurent KYOMBO
3. Assumpter Nchunjua MSHAMA
4. Jackline Siima RUSHAIGO
5. Amina Ayubu ATHUMAN
6. Nasiru Issa BYABATO
7. Placidius Mwenezi NDIBALEMA
(vii) Jimbo la Muleba Kaskazini
1. Adonis Alfred BITEGEKO
2. Charles John MWIJAGE
3. Adv. Fortinatus Sospiter MUHALIRA
4. Adv. Dustan Nicolaus MUTAGAHYWA
5. Edward Willibard MUJUNGI
(viii) Jimbo la Muleba Kusini
1. Simon Patrick WENFUREBE
2. Denis Mutajwaa CHARLES
3. Dkt. Oscar Ishengoma KIKOYO
4. Abdulmajib Yusuph AHMADA
5. Dkt. Modest Bateranisa BURCHARD
6. Didas Mtabalike CLEMENCE
(ix) Jimbo la Ngara
1. Stephen Nzohabonayo KAGAIGAI
2. Dotto Jasson BAHEMU
3. Herbert Jared MHILE
4. Hilali Alexender RUHUNDWA
5. Restutha Chishahayo BINAMBI
6. Lameck Kumbuka JASTON
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.