Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki amesema usimsahihishe mpumbavu kwani ukifanya hivyo atakuchukia ila mwenye busara atakushukuru.
Kagasheki ambaye alishawahi kuwa Mbunge wa Bukoba Mjini, jana aliandika ujumbe huo kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Twitter uliosomeka hivi "Usimsahihishe mpumbavu. Kwa kufanya hivyo atakuchukia. Msahihishe mtu mwenye busara daima atakushukuru.”
--------
Mkiwa nje ya system akili zinawarudia ila mkiwa ndani...!
CC: All Praise Teams including waunga juhudi under the special care of slowslow.
Kagasheki ambaye alishawahi kuwa Mbunge wa Bukoba Mjini, jana aliandika ujumbe huo kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Twitter uliosomeka hivi "Usimsahihishe mpumbavu. Kwa kufanya hivyo atakuchukia. Msahihishe mtu mwenye busara daima atakushukuru.”
--------
Mkiwa nje ya system akili zinawarudia ila mkiwa ndani...!
CC: All Praise Teams including waunga juhudi under the special care of slowslow.