Kagasheki umeyatamka haya kweli?

Kagasheki umeyatamka haya kweli?

Alexism

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2011
Posts
3,423
Reaction score
2,046
Leo mida ya saa tano nimemshudia mgombea ubunge Bukoba Manispaa CCM mzee Kagasheki akitoa vitisho na matusi kwa sisi vijana wa bodaboda Rwamishenye. Kagasheki alikua na mdogo wake anayegombea udiwani na wafuasi wa ccm .Wakati yuko kwenye hicho kidedea alitupita kwanza na wakati anarudi ndo akaanza matusi nitayaandika macheche mengine sitaweza. Vijana nyie wajinga
Bodaboda mnajaa
Hamuelewi na mwisho kasema kuwa kura zetu azitaki.
Kijana mmoja akamuuliza mbona videdea vilikatazwa?Jibu lilikua kumkamata tai kijana huyo na kumpiga picha.Sasa wadau nikajiuliza hivi huyu kweli nikiongozi? Je yeye yuko juu ya sheria? Kwanini anatumia ubabe kiasi hicho.
Kagasheki you have to get out first and learn politics of issues not politics of violance.
 
Leo mida ya saa tano nimemshudia mgombea ubunge Bukoba Manispaa CCM mzee Kagasheki akitoa vitisho na matusi kwa sisi vijana wa bodaboda Rwamishenye. Kagasheki alikua na mdogo wake anayegombea udiwani na wafuasi wa ccm .Wakati yuko kwenye hicho kidedea alitupita kwanza na wakati anarudi ndo akaanza matusi nitayaandika macheche mengine sitaweza. Vijana nyie wajinga
Bodaboda mnajaa
Hamuelewi na mwisho kasema kuwa kura zetu azitaki.
Kijana mmoja akamuuliza mbona videdea vilikatazwa?Jibu lilikua kumkamata tai kijana huyo na kumpiga picha.Sasa wadau nikajiuliza hivi huyu kweli nikiongozi? Je yeye yuko juu ya sheria? Kwanini anatumia ubabe kiasi hicho.
Kagasheki you have to get out first and learn politics of issues not politics of violance.

Ueleweki, sijui form seven ww! bora ungeandika kihaya.
 
Cc Konda wa bodaboda

Leo mida ya saa tano nimemshudia mgombea ubunge Bukoba Manispaa CCM mzee Kagasheki akitoa vitisho na matusi kwa sisi vijana wa bodaboda Rwamishenye. Kagasheki alikua na mdogo wake anayegombea udiwani na wafuasi wa ccm .Wakati yuko kwenye hicho kidedea alitupita kwanza na wakati anarudi ndo akaanza matusi nitayaandika macheche mengine sitaweza. Vijana nyie wajinga
Bodaboda mnajaa
Hamuelewi na mwisho kasema kuwa kura zetu azitaki.
Kijana mmoja akamuuliza mbona videdea vilikatazwa?Jibu lilikua kumkamata tai kijana huyo na kumpiga picha.Sasa wadau nikajiuliza hivi huyu kweli nikiongozi? Je yeye yuko juu ya sheria? Kwanini anatumia ubabe kiasi hicho.
Kagasheki you have to get out first and learn politics of issues not politics of violance.
 
Last edited by a moderator:
rallphryder mimi ni seven kweli ila wewe degree order/holder bado nakuzidi.Kama leo uwezi tofautisha politics of issues na politics of violance alafu unaona unajua. Ok Kagasheki kayafanya haya mbele yangu mimi na vijana wenzangu tunao endesha bodaboda.Kama unakanusha sema sikupiga kelele tu. Mimi nina uhakika kua wagombea au mgombea lazima aoneshe good morals na conducts ili nasi tujifunze nakua na imani naye kwamba tunaongozwa na mtu mwenye hekima na busara.
Sijui nyie degree zinawasaidia nini kama standand seven anaweza kuona mambo na kuyakemea wewe mwenye degree uwezi.
Mtu aliyepiga picha anaitwa JAMAL tumemfaham tayari. Kagasheki out...Rwakatare in...
 
Kagasheki Msamehe manake kesha ona ngoma nzito ndo maana hata kale kaji-FM kanakufa taratibu keshaona maji ya shingo...Lwakatare anamnyima usingizi, katika ilani yake ya 2010 aliahidi kutoboa uwanja wa ndege wa Bukoba Mjini kwa chini (tunnel) ili wananchi wasipate adha ya kuzunguka uwanja wa ndege....wapi?
 
Kagasheki Msamehe manake kesha ona ngoma nzito ndo maana hata kale kaji-FM kanakufa taratibu keshaona maji ya shingo...Lwakatare anamnyima usingizi, katika ilani yake ya 2010 aliahidi kutoboa uwanja wa ndege wa Bukoba Mjini kwa chini (tunnel) ili wananchi wasipate adha ya kuzunguka uwanja wa ndege....wapi?

Kagasheki akishinda ubunge mwaka huu basi tena.

Asubuhi nimeleta uzi ukafutwa

anaendesha kampeini za kibabe ,hawezi shinda.

kuanzia wiki ijayo nitaleta
 
rallphryder mimi ni seven kweli ila wewe degree order/holder bado nakuzidi.kama leo uwezi tofautisha politics of issues na politics of violance alafu unaona unajua. Ok kagasheki kayafanya haya mbele yangu mimi na vijana wenzangu tunao endesha bodaboda.kama unakanusha sema sikupiga kelele tu. Mimi nina uhakika kua wagombea au mgombea lazima aoneshe good morals na conducts ili nasi tujifunze nakua na imani naye kwamba tunaongozwa na mtu mwenye hekima na busara.
Sijui nyie degree zinawasaidia nini kama standand seven anaweza kuona mambo na kuyakemea wewe mwenye degree uwezi.
Mtu aliyepiga picha anaitwa jamal tumemfaham tayari. Kagasheki out...rwakatare in...

wwewe endelea kunywa viroba pumbafuuuu
 
sasa wewe mahaza mimi na wewe nani mpumbafu au unadhani hapo ulipo ni mbali saana siwezi kufika. You are a wicked trush
 
Leo mida ya saa tano nimemshudia mgombea ubunge Bukoba Manispaa CCM mzee Kagasheki akitoa vitisho na matusi kwa sisi vijana wa bodaboda Rwamishenye. Kagasheki alikua na mdogo wake anayegombea udiwani na wafuasi wa ccm .Wakati yuko kwenye hicho kidedea alitupita kwanza na wakati anarudi ndo akaanza matusi nitayaandika macheche mengine sitaweza. Vijana nyie wajinga
Bodaboda mnajaa
Hamuelewi na mwisho kasema kuwa kura zetu azitaki.
Kijana mmoja akamuuliza mbona videdea vilikatazwa?Jibu lilikua kumkamata tai kijana huyo na kumpiga picha.Sasa wadau nikajiuliza hivi huyu kweli nikiongozi? Je yeye yuko juu ya sheria? Kwanini anatumia ubabe kiasi hicho.
Kagasheki you have to get out first and learn politics of issues not politics of violance.

Ulisema kuwa ulikuwepo halafu unauliza kama ni kweli alisema!! wewe viiiipii!!
 
Back
Top Bottom