Ahhhhh!!!! Mh hayo mbona tumeshayazowea hapa Tanzania?ikitokea issue kama hio au inayofanana na hio hua inavuma palex2 mwanzoni,then baada ya mwezi mmoja au miwili husikii tena hii habari kuzungumzwa na hatimae hao wote waliokamatwa wanaachiwa huru,kwa maana ni WATUHUMIWA,yaani (PRIME SUSPECT) Cha ajabu na kusikitisha once ikija bainika hilo zogo na la KIGOGO fulani,basi hutomsikia tena Mh Waziri kufuatilia hili sakata,Hii ndio hali halisi ya nchi yetu tulipofikishwa,msingi wa yote haya ni RUSHWA iliyokithiri katika Nchi yetu ya Tanzania,kwa kweli aliyetoa huu msamiati wa kua RUSHWA NI ADUI WA HAKI,mimi ningemjua mtu ningemtukuza sana.Kwa maana haya ndo maafa na majanga yaliotukuta kwenye Nchi yetu ya Tanzania.Kuna issue kubwa Nchi hii kuliko ile ya EPA?imeishia wapi?kimyaaaaaaa hadi leo, na hio ya Pembe za Ndovu itazimwa kimya -kimya kama zilivyo zimwa za EPA na zinginezo.