Kagasheki arusha jiwe gizani

Kagasheki arusha jiwe gizani

Natangaza kumsamehe Kagasheki kwa lile kosa lake la kuwapora wananchi ile TV ya chogo aliyowanunulia , pale alipobwagwa na Lwakatare .
Hivi bawacha umemuelewa kweli kagasheiki....kifupi anasema mlitaka mafisadi washughulikiwe sasa wanashughulikiwa mnaanza kulia kuwa wanaoneawa,mlitaka mabadiliko sasa mabadiliko yamekuja mnaanza kulia lia
 
Hivi bawacha umemuelewa kweli kagasheiki....kifupi anasema mlitaka mafisadi washughulikiwe sasa wanashughulikiwa mnaanza kulia kuwa wanaoneawa,mlitaka mabadiliko sasa mabadiliko yamekuja mnaanza kulia lia
Inawezekana....misemo na nahau inaweza kuwa na maana pana zaidi
 
Real men huko huko kwenu US of A. Akipigwa risasi na wasiokosolewa wewe utachangia matibabu yake!?

USA baby!
Real men don’t hide behind subliminal messages and double talk.

Real men don’t talk sideways.

Only pussies do that.
 
Huyu mzee wa operation tokomeza mbona naye katokomezwa,au teuzi zimeisha hivyo,maana 2020 atakuwa anachungulia miaka 70. Ataweza mshikemshike ya siasa za kizazi kipya?.
 
Huyu mzee wa operation tokomeza mbona naye katokomezwa,au teuzi zimeisha hivyo,maana 2020 atakuwa anachungulia miaka 70. Ataweza mshikemshike ya siasa za kizazi kipya?.
Kumbe ukinukuu ni maneno yako!
 
Libabu lizima linaongea kwa mafumbo.. Au yule kimada wake wa Arusha MB viti maalum ndio kamfundisha mafumbo na udaku.. CCM mpya hii we don't care afe na mafumbo yake hukoooo.. Ebu atutoleee uchafu shhiiiiiiisshh..!!
 
pogba atakuwa amesonya tu
Naam, kila unapotaka kuongea na mjinga ni vema kutumia lugha ya namna hiyo ili mwenye akili ang'amue. Lugha ya moja kwa moja tunaweza sisi Wakurya tu.Ukiona mtu anamlazimisha mwanaume kuongea na mjinga kwa ukali ujue huyo ni punguani. Niamini mimi.
 
Naam, kila unapotaka kuongea na mjinga ni vema kutumia lugha ya namna hiyo ili mwenye akili ang'amue. Lugha ya moja kwa moja tunaweza sisi Wakurya tu.Ukiona mtu anamlazimisha mwanaume kuongea na mjinga kwa ukali ujue huyo ni punguani. Niamini mimi.

hahaahahahahah !nakuamini mkuu !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom