Sikuwahi kufikiri kwamba kagame anaweza kuwa na akili za hovyo kiasi hiki,kumkamata Rwigayana na mama yake kisha kuwapa kesi na kuagiza mahakama kuuza kiwanda kwa bei ya hasara kwa mnada ni jambo linalotoa picha mbaya kwa bara zima afrika,binti mdogo anampeleka puta ,kagame ni moja ya viongozi wasiofaa kuigwa hata kidogo ,waafrika tuna hulka za wanyama hususan sokwe,ukingalia maisha ya sokwe utagundua kuwa sokwe mkubwa hapendi mpinzani,alitokea mpinzani ni lazima amshambulie hata kumtoa uhai,wana roho ya visasi,ndivyo walivyo watawala wakiafrika ,afrika haiwezi kupiga hatua kwa viongozi wa namna hii,eti kagame ni kiongozi bora,huyu kwa akili zake hafai hata kuwa balozi,kitendo anachofanya kagame sio tu kinatoa picha mbaya nchini mwake Bali ni kwa bara zima,kwamba viongozi wanaingilia mahaka kutekeleza chuki za mioyo yao,jambo hili lina hatarisha uwekezaji kutoka nje
Ya bara LA afrika,muwekezaji akisia kuna kiwanda kinauzwa na serikali kwa njia ya mnada eti kwasababu mmiliki kaamua kugombea urais kumpinga raisi anayetawala,na mlalamikaji hajapewa haki ya kukata rufaa ,muwekezaji hawezi kuja afrika.waafrika tusipokemea mambo haya ,eti yametokea nchi jirani hayatuhusu,tutakosea sana wawekezaji wa kweli hawatakanyaga afrika,pia na wawekezaji wa ndani wataogopa kuwa siku wakipingana na mtawala viwanda vyao vitapigwa mnada,shida kubwa ya watawala weusi wanataka kuheshimiwa kama kwenye familia zao ,watawala wa kiafrika wanapaswa kutenganisha madaraka na kuheshimiwa wajione ni wananchi wakawaida