Kagame maji ya shingo sasa


ok. Mkuu naona unaijua Rwanda zaidi ya aliykuwa Balozi wa Rwanda India na Mkuu wa Intelejensia ya Rwanda Bw Faustine Kayumba Nyamwasa.

Basi tupe sababu ya Kagame kuingilia uhuru wa DRC kwa kupinga Eastern DRC kutumia Drone.

Amini Yanayotokea mali yata wakuta akina makenga na Ntaganda karibuni.
tofauti ni kuwa hapo kongo watakimbilia Rwanda.
 

Nonsense, nani alianzisha genocide Rwanda kama sio Kagame kutungua ndege ya rais Habyarimana?
 

Naona umeangalia link ya 500milions tu. Hizo nyengine vipi?

Sasa kama hakuna civilians huko si wadodoshe nyuklia bombs, moja, mbili tu na watakuwa wamemaliza kazi?
 
Hivi ilikuwaje Rwanda ikakubaliwa kuingia kwenye shirikisho la afrika mashariki?hawa watu wamelowa damu za watu zaidi ya 6mil!

Hilo huwa alisemwi mkuu - utambiwa mambo ya -ve forces, sijuhi nini!! Wana misamihati kibao ya kutaka kuendeleza unyama ulio kithili. Wahenga walisema za mwizi ni AROBAINI, mambo yanavyo onekana tunaweza kuwa tumehanza kushuhudia the beginning of the END ya utawala wa kiimla. Wakumbuke si rahisi kuhadaa watu wote muda wote.
 
Nonsense, nani alianzisha genocide Rwanda kama sio Kagame kutungua ndege ya rais Habyarimana?

...you are just another extremist,hakuna haja debating na wewe maana unachoamini God knows,done & out and dont waste your time kujibu hii post
 
Acha yamkute maana hakuona mbele alipoanza tamaa ya madaraka. Na bado. Alidhani majizi wenzake kama Mobutu walikuwa wapumbavu? Mbona waligeukwa na kuachwa wakifa kama mbwa koko?
 
hivi zile droni zinaambaa tz nani aliruhusu, au ni kimya kimya?
 

Mark my words, it's just a matter of time. For years Kagame, like Mobutu, has been used by the US. They have been pretending to back and give him support, but based on what's currently going on inside the beltway, apparently he will be fixed, and time is running out. The only way he can survive is if Al Qaeda set up a shop in Rwanda.
 
Very sad indeed:confused2: ...hivi kuna foreigner anaweza ingia nchi ya watu na kumiliki ardhi kwa nguvu? sometimes you wonder kama watu wanaoandika humu wana akili timamu au wanafikiria

WEWE KOBA KUMBE NI KOBE..................TAFUTA HIO RIPORT MAALUMU YA ITV NGARA UIANGALIE THEN......URUDI HAPA NI YA MWEZI DECEMBER.....KAMA HUJUI kubali kuuzwa......sio unabisha kama MBULULA.......
 
...you are just another extremist,hakuna haja debating na wewe maana unachoamini God knows,done & out and dont waste your time kujibu hii post

Koba niaje, vipi leo mbona Jasus hajaja kukusaidia unapambana peke yako tu kuitetea Hima Empire
 
Naona umeangalia link ya 500milions tu. Hizo nyengine vipi?

Sasa kama hakuna civilians huko si wadodoshe nyuklia bombs, moja, mbili tu na watakuwa wamemaliza kazi?

nyuklia bomb ni ngumu ku-contain, human suicide bombers will kill them all and it has proved to be successful
 
aliwahi kusema Raulent desire Kabila "vita ya Congo Ilianzia Kigali na itaishia Kigali Naona inakalibia Kuvuka Mpaka wa Gisenyi"

Jamani napenda Co Exsitence ya waafrica wote katika ground sawa na haki sawa sii nchi ambayo kabila mojaa au kikundi cha watu ndo kinafaidi.
 

Wanyarwanda bwana wame vimba sana vichwa sasa wanajiona wao wana akili sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…