Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Tcheche, mugiraneza, kamagi Michael hayo majembe ya azam yapo Nje yataingia second half
 
Jameni tuko (Azam) 1 na KCCA 0 half time.

Ila ukweli ni kuwa hawa wazungu tangia waje Tz hawajasaidia chochote ktk soka letu!

Ebu angalieni timu ya KCCA wanavocheza vzr chini ya Mwafrika (mshagara mdogo) then compare na wa Azam (Mzungu mshahara mkubwa bure kabisaa.

Kocha kanenepa balaa ( alikuja kakonda).
 
Jameni tuko (Azam) 1 na KCCA 0 half time.

Ila ukweli ni kuwa hawa wazungu tangia waje Tz hawajasaidia chochote ktk soka letu!

Ebu angalieni timu ya KCCA wanavocheza vzr chini ya Mwafrika (mshagara mdogo) then compare na wa Azam (Mzungu mshahara mkubwa bure kabisaa.

Kocha kanenepa balaa ( alikuja kakonda).

Mkuu huyo Kocha kaja kwa Heshma yake,AZAM unayoiona hapo ilipofika aliitoa mbali sana.
Muhim ni Magoli na sio kucheza mpira wa show,hayo ndio yalio wakuta yanga jana kwa kujifariji kwamba tulicheza vizuri ila bahati haikuwa yetu.
Mwisho wa siku watu hawaulizi ulichezaje,wanauliza umetoka na points ngapi.

Mbona Micho tulimfukuza hapa,leo hii Kaja na Team ya Taifa katuacha na kututolea mbalii.

Tatizo sio kocha mzungu tatizo kwetu ni kumpangia kocha majukum kutoka kwa mafaza.
 
52' Mins | AZAM 1 KCCA 0

13' Mins John Bocco (Azam)

Asanteeee,Yaani kama vile tupo uwanjani vile.

Aisee Reporter wetu upo vizuri mkuu.

Maana mashindano yameuzwa wengine hatuoni,ukienda kwa mwenye Dstv foleni kama RTC zamani.
Sipati picha wa mkoani,huko ndio hawana moja wanalolipata
 
Back
Top Bottom