Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Okay basi sawa, then go back home get yourself a $20,000 home fully furnished, stop hiding illegally in our forests, and robbing the wahaya when they go home by road!
Hee, crazy mkimbizi wewe this country ni ya wagogo siye wote ni wahamiaji haramu !! uliza.... YOU SAY GOING BACK HOME... home kwetu siye wote ni makaburini (grave yard) huko ndiyo makao makuu na nyumba za milele !! Baba wa taifa alitutawala naye alikuwa mtutsi na tukamzika nchini !! Mrhm.Karume alikuwa mnyasa (malawai) nae akazikwa kisiwani !! hujui kitu idadi yetu hapa ni mchanganyiko usio na asilia ya Uwenyeji.
Halafu hao wahaya,wa chagga,wa yao, waGoni, nk nao uliza walitokea wapi? wewe huji kitu upo upo tu!
Hata jina Tanzania halina uasilia au uhalisi wowote kwa nchi hii !!