MUKAMASIMBA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,655
- 362
Siku za Paul Kagame zinahesabika.Ni wazi serekali ya RPF inajua ujio wa FDLR ni kitisho kikubwa kwa utawala wao anachokifanya Kagame nikuweka mazingira ya kuzuia ujio wa FDLR.Kitu kimoja asichokijua Kagame ni kwamba huwezi kuwakandamiza wahutu walio wengi wakati wote itafika muda utatumia nguvu nyingi lakini mwisho wa siku walio wengi wataendesha serekali.
ahaha...mmeshindwa kuiondoa ccm madarakani..eti FDLR wataiondoa RPF madarakani?hilo sahau kabisa...kwa mtutu au uchaguzi FDLR hawezi kitu watarudi wote mikono juu,mbona wamesaidiwa na nchi nyingi na mpaka leo wamomaporini na ndani ya mashimo kama panyabuku.