Kagame aanza vituko

Kagame aanza vituko

jMali

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
8,412
Reaction score
5,013
cc: JokaKuu NasDaz murutongore Koba Commanche KILLERS KISS GUY MGOSI132, ZAGANZA kabavamwo JustDoItNow iparamasa Mkirua Kituko


Kukubali kwa FDLR kuweka silaha chini na kujiandaa kurudi Rwanda kama chama cha siasa kunampa dikteta Kagame wakati mgumu kwani dunia nzima sasa inaangalia kwa makini ulingo wa kisiasa nchini Rwanda. Hali hii itampa tabu kagame kuendelea kuonea wapinzani kwani sasa nchi yake itakuwa chini ya macho ya dunia nzima hasa kwenye uchaguzi ujao 2017. Itakuwa ngumu kufanya vitu alivyofanya uchaguzi uliopita kama: kufungwa kwa mpinzani pekee wa nguvu Victoire ingabire, na kuwaua au kuwapoteza wapinzani wengine kusikojulikana.

Katika kujaribu kujihami dhidi ya upinzani mzito utakaoletwa na FDLR, tayari idara yake ya usalama wa taifa imeanza tena matukio ya kuhujumu nchi na kuwasingizia FDLR, FDLR ambao sasa hivi wanaweka silaha chini na hata bado hawajatia mguu Rwanda.
Ikumbukwe kuwa mara ya mwisho kufanya vituko kama hivi ilikuwa ni kutafuta sababu ya kumuua patrick karegeya, idara ya usalama ililipua mabomu ya mkono (kama yale ya Arusha), na kusingizia chama kilichoanzishwa na karegeya the RNC kuhusika, na hivyo hapo hapo chama hiki kikapigwa marufuku nchini Rwanda.

Habari hii chini pia inaonyesha kile ambacho nimeshawahi kupost hapa kuhusu involvement ya magazeti yanayomilikiwa na kampuni ya nation media ya kenya. Kumbe siko peke yangu ninayeona jinsi magazeti haya yanavyotumika na Rwanda.

---

KIGALI: RPF SHOULD STOP LYING TO RWANDANS, FDLR IS NOT INVOLVED IN BURNING BUILDINGS, IT IS A DMI WORK!

13 juillet 2014



As fire continues to make many victims in Rwanda, first in Muhanga prison, after in Rubavu prison and now in commercial area, Matheus in Kigali, RPF has started it's lying campaign to put all these crimes as usual to the head of FDLR. so that later on the RPF rwandan based newspapers like igihe.com, imirasire.com, Kigalitoday.com, could translate the same article into Kinyarwanda, to show that, the news are coming from outside; and should be considered as the pure truth.


Here is Rubavu prison burning


In that article an anonymous official at Rwanda Correctional Services, said: « It can not be a coincidence that two correctional facilities can be gutted by fire in one month". The acting director of the Rubavu prison, Eric Ntakirutimana when asked about the recent fire incident in his prison, he said: "For now, our concern is the lives of the inmates as well as their property and that of the prison," He continued saying: "We cannot tell for now what the cause the fire was but we will launch investigations immediately."

But as we know the RPF culture, there will never be any invstigation as the criminals are inside DMI, a very important authority in Rwanda. Since people have heard many fire incidents, the rwandan government did not release any report about what happened, they only write that the electriciy defect was behind the fire, but now the change the card, to accuse wrongly the FDLR.

Most people have guessed right: It is the infamous DMI that is burning buildings and prisons in Rwanda

Where did the idea to burn houses came from? Some DMI agents who are regular visitors of the Leprophete.fr website, have noticed that, some people were frequently suggesting in their comments to burn the RPF houses, cars and other properties. These agents do read all the comments but more importantly, they scan all comments looking for clues as of what the opposition is up to.

A hole street burned down in « Quartier Matheus » in Kigali near Kagame's tower, City Tower.

If you are a frequent visitor of leprophete.fr, you might have come a cross a comment calling on Hutus in Rwanda to set fire on cars even buildings in Kigali. This is where DMI agents close to Paul Kagame got the idea of setting fire on unwanted buildings. They figured out that instead of going through a lengthy process of moving someone, compensating them, etc… why not just burn down their house and be done with it!

Also, these DMI agents figured they can get rid of unwanted people in this way. Paul Kagame is feeling the heat from the international community about his poor human rights record. Thanks to this pressure from the international community, Victoire Ingabire and Bernard Ntaganda are still breathing. Else, those two would have been history in no time. DMI is under pressure from their evil boss, Kagame to come up with new ways to eliminate opponents without raising the suspicion of the international community. So, they figured, people they can't be easily poisoned, they must die in various accidents that will look like acts of nature.

Paul Kagame is under pressure from his friends from the West

In a meeting held not long ago, a meeting chaired by Kagame himself, new methods (accidents) of getting rid of nuisances were adopted. One of those methods is to burn down unwanted buildings and worse, burning down building housing unwanted people. That way, people would think it's an act of God, an Accident! So, don't be surprised if 1930 prison where Ingabire is housed catches fire.

DMI and Firefighters
DMI has infiltrated all Fire Stations. If a building is set on fire by Kagame and his agents, DMI agents at the nearest Fire Station are aware of the secret operation and will make sure Fire Trucks get there after the fire has done maximum damage. Those of you who followed closely the latest fire in Kigali, noticed that Fire Trucks showed up really late, after the fire accomplished the mission: completely destroy those buildings. Those Fire you see in Rwanda are intentionally and no accidental. It's the latest scheme from our evil President.
Kagame spending sleepless nights

Kagame is afraid of resilient Hutus, whom up until now refused to bow to his evil authority. Kagame is also troubled by Tutsis who no longer worship him and are standing up to him. The puzzle is how to eliminate them without getting himself in trouble with the powerful countries! Don't be surprised if you see more weird car accidents, weird fires, etc..
So accusing FDLR to be behind of recent burning incidents is again another way to show rwandans that RPF and paul Kagame are still ready to do anything in order to stay to power. Kagame is not short of making sacrifices. Please read the wrong accusation against FDLR written by The Eastafrican:

Source:Ikazeiwacu.fr

Fingers point at FDLR as mysterious fires gut Rwanda prisons



fire.jpg
Kigali's commercial centre of Quartier Matteus burns of July 8, 2014 afternoon. The inferno raged for well over two hours before it was put out by police and military fire brigades. In the past month, fires have been reported in two state prisons, prompting fears of sabotage. Photo/Daniel S. Ntwari
By Special Correspondent Rwanda Today

Posted Friday, July 11 2014 at 20:20
In Summary

  • Three inmates were confirmed dead in an inferno that recently swept through Rubavu Rwanda Correctional Services (RCS) facility, just weeks after another prison in Muhanga district was gutted by fire.
  • The western and northern towns of Rubavu and Musanze have in recent days been gripped by tension originating from the alleged infiltration by FDLR elements.
  • The fires also have exposed Rwanda's lack of capacity to handle catastrophic fires, what with an ill-equipped firefighting department.





As government officials remained tight-lipped on the causes of recent fires in state prisons, one of which claimed the lives of three inmates, some insiders would not rule out sabotage.

Some sources even pointed a finger at the Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR). The Democratic Republic of Congo (DRC)-based militants are widely implicated in the 1994 Genocide against the Tutsi, as well as several bomb and grenade attacks on unarmed civilians in Rwanda from across the border.



"It cannot be a coincidence that two correctional facilities can be gutted by fire in one month," an official at Rwanda Correctional Services, who preferred anonymity due to the sensitivity of the matter, told Rwanda Today. "This has to do with work of an insider or an enemy within."

The source further revealed that the prison service and intelligence agencies would ensure the cause of the fire was established.

Unconfirmed reports were reportedly making rounds in Rubavu town alleged that the FDLR were behind the fire. These reports had, however, not been corroborated by officials by press time.



Three inmates were confirmed dead in an inferno that recently swept through Rubavu Rwanda Correctional Services (RCS) facility, just weeks after another prison in Muhanga district was gutted by fire.




At 8pm on Monday, fightfighters were still battling the fire which gutted a large section of one of the newest prison in Rwanda located in Rubavu, Western Province. Rwanda Defence Forces (RDF) and Rwanda National Police battled the fire late into the night.

In an interview with the state broadcaster Radio Rwanda, Mayor of Rubavu Sheikh Hassan Bahame said the three died in the blaze while 40 others sustained injuries during a stampede that ensued.



According to sources at the scene, the fire broke out at around 4:30pm in one section of the facility. Eric Ntakirutimana, the acting director of the prison, told a local news outlet that he could not immediately confirm the cause of the fire.

"For now, our concern is the lives of the inmates as well as their property and that of the prison," said Mr Ntakirutimana. "We cannot tell for now what the cause the fire was but we will launch investigations immediately."



Residents of the district looked on as the correctional facility, which is located on a hill overlooking Lake Kivu, was consumed by the inferno. The picturesque prison, considered one of the new, model correctional facilities in the country, holds more than 3,000 inmates.

Just a month ago, a big section of Muhanga Correctional Facility, which is located in the southern district of Muhanga, was gutted by fire which, according to sources, was a result of "poor electrical installation."


Investigations concluded that during fumigation some liquid chemicals got into contact with bare, live electrical wires, causing a short-circuit that sparked off the blaze.



The management of the facility, which also houses more than 3,000 prisoners, struggled to keep the excess inmates after a large section of it was destroyed. Prisoners were distributed in Mpanga and Huye prisons, which were already battling congestion.


The western and northern towns of Rubavu and Musanze have in recent days been gripped by tension originating from the alleged infiltration by FDLR elements. Some of the recent documented disappearances and arrests happened there.




Bars and nightclubs razed

The prison infernos rekindle memories of 2011, when dozens of schools across the country were gutted by mysterious fires and, later in 2012, when several bars and nightclubs in Kigali were razed in a series of fires.



At least 92 fires were recorded In 2012 and 84 in 2011, which has compelled the government to establish a special team to investigate the outbreaks. The fires also have exposed Rwanda's lack of capacity to handle catastrophic fires, what with an ill-equipped firefighting department.


When last month Minister for Internal Security Sheikh Musa Fazil Harelimana was grilled by parliamentarians regarding the country's ability to respond to fire disasters, he said more resources were being allocated to this end.



Eyewitnesses say that, in most cases, police arrived at the scene hours after the fire broke out and struggled to contain the blaze.
 
Tangu zamani nilishasema kwamba Kagame hataacha kuwa-consider FDLR as terrorists coz' that's the only way to exclude them from political ground which, in fact, in the presence of fair play, sioni ni namna gani RPF wanaweza kuwashinda FDLR. Wengi hivi sasa tunasubiria kuona PK atafanya nini kuhusu FDLR wanaosalimisha silaha... the guy is cornered... hapa nadhani hana jinsi ni lazima awe tayari kuwaacha FDLR kuingia Rwanda otherwise, his lies ambayo ni wachache tu tuliokuwa tunaifahamu, eventually itafahamika na kila mmoja.

Huku nikiwa sina shaka tena kwamba FDLR wataingia Rwanda, mashaka yapo 2017. Ili kuwadhibiti FDLR kuingia madarakani, I bet Kagame atagombea tena 2017 kinyume na katiba ya Rwanda. Kwa mtazamo wake, ambao utakubalika na wengi utakuwa kwamba, kwenye kinyang'anyiro cha urais FDLR wanatakiwa kupambana na strong person like PK. Kutokana na hilo, kwanza tutarajie mabadiliko ya katiba ya Rwanda.

Hili likifanyika, kitakachofuata ni kuhakikisha PK anashinda urais... itakuwa ni fedheha kwake kuchakachua katiba halafu tena ashindwe! Hii itakuwa fedheha ambayo mtu awaye yote hawezi kuwa tayari kuikubali. Ili la kuhakikisha PK anashinda, nina mashaka kwamba litaifanya Rwanda iingie kwenye machafuko tena coz' I don't expect FDLR watakubali uchakachuzi kirahisi rahisi.
 
Si alidhani anaweza kutukana wabongo na kuendelea kutamba bila kupewa majibu yake. Wabongo lazima tumfundishe adabu huyu mpuuzi. EAC imetuzungua,sasa tutapitia SADC kuwasafisha hao FDLR na tutawapa hiyo nchi wawe wauaji au siyo la sivyo aombe msamaha kwa Tanzania.
 
Kagame kipindi sijamjua nilizani ni jembeeeee,lakin ama kweli ukiwa gizan mnaonana mliopo kizani wote.


Ila fdrl waabgalie maana anatumia kila awezalo kuteketeza wapinzan wake.

Na hii lazima ajute kuizarau nchi kama Tanganyika na akajiona yu bora,kisa wavuta sigara kenyata wanamsapoti na museven amabao wanaushawishi kwao tu.

In short PK yupo on target ni Kazi yetu kumtungua, asicheze na Nkwere yetu.
 
FDLR kusalimisha silaha ilikua ni strategic move. Sasa UN wametoa masharti kwa FDLR na kwa PK kwamba fdlr wasalimishe silaha warudi rwanda na waunde chama cha siasa na 2017 wagombee kuongoza nchi. Mambo haya yanatakiwa yakamilike ndani ya miezi 6. Kagame ameambiwa lazima awapokee fdlr wote,nae pia dead line ni miezi 6. FDLR wameungana na vyama vingine viwili vikiwamo na vinavyoongozwa na watusi,ili kuleta mabadiliko Rwanda. Hapo ndipo kazi ipo kwani pk akikataa jumuiya zote za kimataifa zitamuona mkorofi na ataweza chukuliwa hatua,na akikubali kwenye uchaguzi lazima wamng'oe.
 
Jk alimwambia aongee nao akagoma sasa jumuia ya kimataifa imemtaka aongee nao na wameweka deadline kagame yuko katika hatua za mwisho za utawala wake hata kama akihonga wahariri wa the east african wampigie international propaganda
 
Jk alimwambia aongee nao akagoma sasa jumuia ya kimataifa imemtaka aongee nao na wameweka deadline kagame yuko katika hatua za mwisho za utawala wake hata kama akihonga wahariri wa the east african wampigie international propaganda

Ajiandae kwenda kunyea debe "the Hague". Ushahidi wa mauaji aliyofanya na mashahidi wapo.
 
Hata Hitler alipoona mambo magumu alijiua tu.

Kwa PK sitashangaa
 
Eeehhh kama wanachoma choma hovyo majengo ku attract international attention hiyo nchi si salama...unaweza kujikuta ni victim wa hiyo drama...
 
Nyie watz manomsema kagame, hebu jaribuni kufikiria je, kama ingekuwa tz ingekuwaje? Rais wa kenya (kwa mfano) aje awaambie mkae chini na watu ambao tuseme waliua watz zaidi ya milion 1 mtakubali? sisemi kwamba kagame yuko sahihi, lakini one thing thats for sure is that anafanya kazi na ni kiongozi anayependwa na wengi ndani na nje ya nchi yake. na kazi yake tunaiona kwa jinsi nchi yake inavyoendelea! jalini yakwenu mumwache mwenzenu naye ajinafas!
 
Siku za Paul Kagame zinahesabika.Ni wazi serekali ya RPF inajua ujio wa FDLR ni kitisho kikubwa kwa utawala wao anachokifanya Kagame nikuweka mazingira ya kuzuia ujio wa FDLR.Kitu kimoja asichokijua Kagame ni kwamba huwezi kuwakandamiza wahutu walio wengi wakati wote itafika muda utatumia nguvu nyingi lakini mwisho wa siku walio wengi wataendesha serekali.
 
Si alidhani anaweza kutukana wabongo na kuendelea kutamba bila kupewa majibu yake. Wabongo lazima tumfundishe adabu huyu mpuuzi. EAC imetuzungua,sasa tutapitia SADC kuwasafisha hao FDLR na tutawapa hiyo nchi wawe wauaji au siyo la sivyo aombe msamaha kwa Tanzania.
Ni kweli the only way kama kagame anataka kuishi kwa amani aje kwetu atuombe msamaha.
Lazima tutamzingua, tena tutamzingua pakubwa. Hawa jamaa tutawapa nchi ya rwanda. Tunauwezo huo
 
Nyie watz manomsema kagame, hebu jaribuni kufikiria je, kama ingekuwa tz ingekuwaje? Rais wa kenya (kwa mfano) aje awaambie mkae chini na watu ambao tuseme waliua watz zaidi ya milion 1 mtakubali? sisemi kwamba kagame yuko sahihi, lakini one thing thats for sure is that anafanya kazi na ni kiongozi anayependwa na wengi ndani na nje ya nchi yake. na kazi yake tunaiona kwa jinsi nchi yake inavyoendelea! jalini yakwenu mumwache mwenzenu naye ajinafas!
We unaota au nini? Kwa jinsi yoyote ile huwezi compare siasa za rwanda na Tanzania. Kwa hiyo unajua kabisa mambo anayofanya ni mabaya lakini tumwache ajinafasi?!
Inaonekana wewe ni mtusi alafu huko hapa bongo.
 
Kagame kipindi sijamjua nilizani ni jembeeeee,lakin ama kweli ukiwa gizan mnaonana mliopo kizani wote.


Ila fdrl waabgalie maana anatumia kila awezalo kuteketeza wapinzan wake.

Na hii lazima ajute kuizarau nchi kama Tanganyika na akajiona yu bora,kisa wavuta sigara kenyata wanamsapoti na museven amabao wanaushawishi kwao tu.

In short PK yupo on target ni Kazi yetu kumtungua, asicheze na Nkwere yetu.

Wewe bado uko gizani,yani unaamini hizo propaganda za jmali?kweli upo usingizini,uchunguzi bado unafanywa hakuna ripoti yoyote iliyotolewa,lakini wengi wanaamini ni tatizo la umeme,sasa huyo jmali ameifanya lini hiyo investigation? nahisi hawa akina jmali watakua ndio wanachoma kigali,sasa wameanza kuzusha kabla ya report ya investigators.
 
We unaota au nini? Kwa jinsi yoyote ile huwezi compare siasa za rwanda na Tanzania. Kwa hiyo unajua kabisa mambo anayofanya ni mabaya lakini tumwache ajinafasi?!
Inaonekana wewe ni mtusi alafu huko hapa bongo.

Siasa za tanzania?siasa za kike tu,umbea na majungu hizo ndizo siasa za tanzania,na pk ni mwanaume hawezi kushiriki siasa za kinafiki.
 
Ni kweli the only way kama kagame anataka kuishi kwa amani aje kwetu atuombe msamaha.
Lazima tutamzingua, tena tutamzingua pakubwa. Hawa jamaa tutawapa nchi ya rwanda. Tunauwezo huo

Kuomba msamaa kwalipi?~nisawa na kumwambia aombe msamaha kwa FDLR.
 
Siasa za tanzania?siasa za kike tu,umbea na majungu hizo ndizo siasa za tanzania,na pk ni mwanaume hawezi kushiriki siasa za kinafiki.

Duh! povu lote hilo la nini mkuu? au ndo presha za ujio wa hao jamaa wa FDLR?
 
Back
Top Bottom