Kagame,Kaguta,Kikwete,Kenyatta,NKurunzinza,Kabila, (6K's)...they all putting things together to snatch their third terms!!
bwahahahhaha, ngoja wakusikie wenyewe
Ahahahahaha ndugu yangu Jmali. Yaani hiyo avata inaonyesha wewe ni muhutu original.
Kumbe wazee wa sumu na wazee wa jenosaidi wanasema ukweli wewe ni mhutu kabisaaaaa.....LOL
Huyu dikteta ataondoka ikulu kwa vifaru
Ahahahahaha ndugu yangu Jmali. Yaani hiyo avata inaonyesha wewe ni muhutu original.
Kumbe wazee wa sumu na wazee wa jenosaidi wanasema ukweli wewe ni mhutu kabisaaaaa.....LOL
Mkuu nataka kujua kwani kuna ubaya gani kuwa Mhutu? kwani kila mgutu muuaji au n i interhamwe?
Mkuu nataka kujua kwani kuna ubaya gani kuwa Mhutu? kwani kila mgutu muuaji au n i interhamwe?
siyo hima empire ndugu yangu,nikwasababu imeisha onekana kwa wazungu mtusi akitawala hawawezi leta uhuni wao ila hawa waafrika wengine zao ni kuwainamia wazungu na kusema ndiyo bwana.
Mkuu nataka kujua kwani kuna ubaya gani kuwa Mhutu? kwani kila mgutu muuaji au n i interhamwe?
Watutsi wanaamini wao wameumbwa ili watawale Afrika. Angalia mawazo ya huyu mmojawapo kuhusu wabantu.
Hayo ya mukamasimba ndio msimamo wa kagame na RPF. Na ndio chanzo cha migogoro yote ya rwanda na burundi. watutsi wenye asilimia chini ya 15 wanataka kutawala wenzao asilimia 80! kwa sababu tu wao ni watutsi!
cc: MK254 nyumba kubwa JustDoItNow Kibona
mh!kwa hiyo MUKAMASIMBA=KAGAME?
Ngoja nikusaidie mkuu kwa manufaa ya mijadala ijayo vis a vis Rwanda.
Kuna Mhutu na kuna Interahamwe
Kuna Mtutsi na kuna Intarahamwe
Wote hawa jMali could be either of them.
kimawazo yes, hata wewe =kagame.
kimawazo? mawazo gani hayo?
sasa nini tena? unaona aibu kurudia? basi acha lakini kwa vyovyote itakuwa inahusiana na ukabila maana naona ushaanza kigugumizi kwa jinsi unavyonijuwa nsivyoupenda!!! safi sana, ila ntakupata tu kwani huchelewi Interahamwe wewe!!!tayari yameshawekwa. siku nyingine ukidandia mjadala anzia mwanzo sio kumuona jmali unalipuka tu!
usitake kuvumbua vitu ambavyo havipo, kuna interahamwe tu, hakuna intarahamwe! Naona mmeshaanza kubuni vitu vya kufikirika, hiyo "intara" ya watutsi ndio ya wapi tena?
sasa nini tena? unaona aibu kurudia? basi acha lakini kwa vyovyote itakuwa inahusiana na ukabila maana naona ushaanza kigugumizi kwa jinsi unavyonijuwa nsivyoupenda!!! safi sana, ila ntakupata tu kwani huchelewi Interahamwe wewe!!!
Atleast umeona typing yangu ndio imekosewa. Not the comment. Thanks.