Kagame 3rd Term Debate Gains Momentum in Rwanda

Kagame 3rd Term Debate Gains Momentum in Rwanda

mjadala mzima upo hapa, wewe unadakia comment za mbele halafu unataka watu warudie kwa nini? lakini wewe huyo huyo ukiombwa ushahidi, link au reference yoyote ile ndio wa kwanza kuingia mitini. anyway, mjadala ulikuwa kati yangu na murutongore sio wewe.[/QUOTE]

Kama ni kati yangu na wewe tu nitaku PM sio kuuweka hapa. Unajua maana ya Forum? Dimwit
 
Angalau wewe kidoogo, yule mwenzio wa Gigawatt mpaka leo kimyaaaa. Anyway, interahamwe inajumuisha watutsi na wahutu alike, kwa sababu originally lilikuwa kundi la kisiasa, na halikuanzishwa ili kuua watutsi kama baadhi ya watu wanavyodai, ndio maana hata watutsi nao walikuwamo ndani ya interahamwe.

The new interahamwe inajumuisha wahutu na watutsi not the original interahamwe.
 
mh!kwa hiyo MUKAMASIMBA=KAGAME?

B8RyNYwPiKDdAAAAAElFTkSuQmCC
 
..sasa Kagame anakuwa raisi wa maisha au wanaongeza tu muda toka 2 terms kwenda 3 terms?

cc MK254, jMali, Talkandtalk, JustDoItNow

Kweli anataka awe rais wa maisha, alianza na issue ya kubadili katiba ya uongozi toka 5 years kwenda 7 years sasa anahamia kwenye awamu za kuongoza.Nachokiona hapa anataka kufia madarakani,kama mwaka huu mwezi wa kumi anagonga 58 ina maana mwka 2017 atakuwa na 60 akipiga 7 ya awamu ya tatu atakuwa ameshapoteza hata uwezo wa kushtakiwa the Heague
 
Ahahahahaha ndugu yangu Jmali. Yaani hiyo avata inaonyesha wewe ni muhutu original.
Kumbe wazee wa sumu na wazee wa jenosaidi wanasema ukweli wewe ni mhutu kabisaaaaa.....LOL

Kumbe wewe hata huji kutofautisha kati ya mhutu na mtusi,hiyo picha kweli kama ungekuwa unajua basi ungepatia
 
murutongore

that comment you just replied to was adressed to mchambawima1, ukitaka tuendelee kujadiliana vizuri kumbuka kutochanganya ID zako basi! kutokuweza hilo ndio udimwit wenyewe!
 
Last edited by a moderator:
The new interahamwe inajumuisha wahutu na watutsi not the original interahamwe.

Mimi naelewa kitu unachotaka kusema, ila kwa faida ya wenzangu ngoja nifanye kazi yako ngumu kidogo:
Hakuna kitu kinaitwa "new interahamwe". Interahamwe ilikuwa ni youth wing ya chama tawala cha MNRD. Unless unataka kusema MNRD imesajiliwa upya then labda hapo ndipo itawezekana kuwapo kwa interahamwe. Ni kama useme umefuta chadema halafu ukabakiza "red brigage", impossible! Jipange upya!
Pili, sio kweli kuwa interhamwe haikuwa na watutsi. Interahamwe ilikuwa inaongozwa na mtutsi Robert kajuga (i know its a cliche LOL), it was created and funded by rich tutsis affiliated with MNRD, mmojawapo wa wafadhili hawa alikuwa ndugu wa jeannette kagame aliyekuwa anamuhifadhi nyumbani kwao Uganda! Of course majority ya wanachama walikuwa wahutu like any other group, remember 8 out of 10 people in Rwanda are Hutu, so ukiwa na interahamwe 100 utapata less than 20 tutsis tu. Idadi ndogo ya watutsi ndani ya interahamwe haikufanya interahamwe kuwa an exclusive hutu club....of course untill the plane was downed and genocide started...
 
Wakuu inabidi tukumbushane, muuaji ni muuaji tu whether Interhamwe or not. Kuua ni kuua tu. Ni ujinga kuona mauji ya Interhamwe yalanaaniwa na yaliyofanywa na RPF yatukuzwe. Genocide is genocide regardless on who commits it.
 
Wewe bwana minaona tuwasiliane next time kabla haujaingia kwenye vilabu vyako vya mataputapu, kwa hiyo Mugabe alikuwa akisifiwa kwa kuuzia nchi makaburu wakiingeleza? Kagame hana kifani wala mpinzani.
Umeileta ya nini hapa kama hutaki kuhojiwa,ovyoo kama mchuzi wa jana!
 
Let us be realistic. Kagame ni Rwanda, na Rwanda ni Kagame. Unajua tukiachana na demokrasia ya magharibi ambayo imetukomoa watanzania under JK, tunaweza kuona kuwa ukiwa na dikteta kama Kagame ni bora kuliko rais aliyechaguliwa kidemokrais kama JK.

Kama kiongozi wa nchi, kama msimamizi wa mali za taifa, kama mkuu wa serikali na idara zake (though not perfect) Kagame is 100 better than JK. Politics aside, uzalendo mpofu pembeni.....Tupende tusipende he is our president who we will never have, hata akiondoka Rwanda, haitakuwa na kiongozi kaka PK. Kuna mengi ya Kagame siyapendi, lakini will be very happy to have him as president of Tanzania.

Umenena mkuu..
 
hiv ubaya wa kagame ni upi kwa maendeleo ya rwanda na utengamav wake?. kafanya makubwa kwa rwanda ila nature ya binadam ni kutaka mabadiliko hata kama hakuna ulazima jambo ambalo litamkumba hata kagame..
 
hiv ubaya wa kagame ni upi kwa maendeleo ya rwanda na utengamav wake?. kafanya makubwa kwa rwanda ila nature ya binadam ni kutaka mabadiliko hata kama hakuna ulazima jambo ambalo litamkumba hata kagame..

Kim jong anafanya makubwa, gadafi alifanya makubwa, mugabe alifanya makubwa, hosni mubarak alifanya makubwa, Mobutu alifanya makubwa......Jambo la msingi ni kuwa katika mfumo wa kidemokrasia lazima uachie wenzako na sio kung'ang'ania madaraka.
 
Wakuu inabidi tukumbushane, muuaji ni muuaji tu whether Interhamwe or not. Kuua ni kuua tu. Ni ujinga kuona mauji ya Interhamwe yalanaaniwa na yaliyofanywa na RPF yatukuzwe. Genocide is genocide regardless on who commits it.

Kwa hiyo hata nyie mliowaua waganda kwenye vita ya iddi amin mnastahili mpelekwe the Hague sio? "Kuua ni kuua tu"
 
Kim jong anafanya makubwa, gadafi alifanya makubwa, mugabe alifanya makubwa, hosni mubarak alifanya makubwa, Mobutu alifanya makubwa......Jambo la msingi ni kuwa katika mfumo wa kidemokrasia lazima uachie wenzako na sio kung'ang'ania madaraka.

Awamu yake ya pili imeisha wewe dimwit? Anang'ang'ania nini wakati term yake haijaisha?
 
Kim jong anafanya makubwa, gadafi alifanya makubwa, mugabe alifanya makubwa, hosni mubarak alifanya makubwa, Mobutu alifanya makubwa......Jambo la msingi ni kuwa katika mfumo wa kidemokrasia lazima uachie wenzako na sio kung'ang'ania madaraka.

kwanini ang'ang'anie sasa?.

kagame hajui demokrasia sababu hukupata nchi kidemokrasia..

njia aliyoingilia madarakani ndiyo atakayotokea unless aamue kumrithisha mtu kutoka ktk chama chake ambao utakuwa ni mwendelezeo wa udikteta.. ballot paper mtu aliyetokea mdituni na kupindua serikal halali haina kaz
 
Kwa hiyo hata nyie mliowaua waganda kwenye vita ya iddi amin mnastahili mpelekwe the Hague sio? "Kuua ni kuua tu"

Mkuu muuaji ni muuaji tu, hata akiwa mtanzania. Kwneye vita vya amini hatukwenda kufanya genocide ya kabila fulani la waganda, au hatukwenda kufanya mauaji holela. Yalikuwa ni mapambano kati ya wajeshi wa jeshil a taifa la Uganda na wanajeshi wa Tanzania. Hii ni tofauti na kusema tuliua waganda, tuliuawa pia.

Ndio maana ukifuatilia kwa undani unaweza kuona kuwa hakuna aliyesema RPF ilifanya genocide wakati inapambana na kuua askari wa jeshi la serikali ya Hyabyarimana, au wakati wapiganaji wa RPF walipokuwa wanauawa hawakusema kuuawa kwa wapiganaji wa RFP ni mauaji ya halaiki.

Lakini kilichofanywa na Interhamwe kwa kuwa kiliwatarget watu fulani ni genocide wale ndio wauaji, hata hapa Tanzania watu wanaoua watu kwenye uhalifu ni wauaji, hata kama ni viongozi au wanadini.
 
People need changes hata kama umeleta maendeleo makubwa muda ukiisha step aside,that's democracy
 
Kagame hajui hata maana ya demokrasia sababu hakuingia madarakani kidemokrasia
 
mjadala mzima upo hapa, wewe unadakia comment za mbele halafu unataka watu warudie kwa nini? lakini wewe huyo huyo ukiombwa ushahidi, link au reference yoyote ile ndio wa kwanza kuingia mitini. anyway, mjadala ulikuwa kati yangu na murutongore sio wewe.
we bwana achakamba zako! tangu lini nimeingia mitini baada ya kuombwa ushahidi? nikiletakitu hapa ujuwe hakina mpizani, sio wewe na zile habari zako za kuokoteza maraJumbonews mara... moja ya sifa zangu ni kwamba nikiliona tu liinterahamwe naliwahi na misumu yake alafunikishazitoa tu nalionyesha njia ya kurudi mstalini, sema wewe badohujalainika, ipo siku tu utapenda kwenu na ndugu zako bila kubagua.

 
Back
Top Bottom