Azam wamelegezwa sio wamelegea, umekutana nae mara ngapi na anakulamba kama ice cream? Azam kakutana na kisiki ndio maana unaona kalegea but ungecheza nae wewe ulikuwa unatupwa nje ya michuano leo leo
Ukiisema azam mbovu, manake umeidharau yanga uliyofichua udhaifu wa azam....binafsi wako vzr sn sema wamekutana na timu bora, hawa azam muwatukane mkicheza nao nyie...sisi tunaona ni timu ngumu sn japo tumeifunga
Ukiisema azam mbovu, manake umeidharau yanga uliyofichua udhaifu wa azam....binafsi wako vzr sn sema wamekutana na timu bora, hawa azam muwatukane mkicheza nao nyie...sisi tunaona ni timu ngumu sn japo tumeifunga