Kafumania na kapewa mkong'oto

Kafumania na kapewa mkong'oto

Jamaa nae alienda kiboya bila rungu, au panga aisee mbona wale matrafiki walivyo mtait yule dereva alikimbilia panga kwenye fuso lake trafiki wakasambaa nakuhakikishia nikiwa na rungu hata muwe Tisa mtasambaa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha ukisikia kujifungia chumba kimoja na paka mwizi ndio huku...yaani wewe umegundua mkeo analiwa alafu unamtokea yy na mlaji chumbani huku upo peke yako?

Kipigo alichopata kilimstahili maana sidhani kama mtu mwenye akili anaweza Fanya jambo gumu kiasi hicho bila mipango..

Kiukweli mm siku nikigundua mke wangu anatembezewa mkuyenge kwingine na nikawa na ushahidi Wa kutosha wala sintaangaika na anaemla maana siwezi jua nani aliemshawishi mwenzake..

Mm nitakchofanya nitamsubira nyumbani akirudi tu anakutana na kila kitu chake mlangoni abebe wakagegedane kwa Uhuru nguvu ambazo ningetumia kupigana na mgoni wangu ntazitumia kutafuta kifaa kipyaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndo uanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke akishaanza kuchepuka bora kuachana naye tu,unaenda kumfumania ili iweje?baada ya hapo nini kinafuata?
 
Jamaa yetu kitaa amevimba uso, hana hamu tena na mke kachapiwa. Ilikuwaje! ungana nami.
Kwa muda jamaa aliskia kiwa kuna afande mmoja anamla mkewe. Jamaa kwa mwendo wa kobe akaanza kufuatilia. Sasa bwana juzi kati kabonyezwa mkeo yuko room namba x afande anatandika mitindo huru.
Jamaa kakurupuka hadi maeneo kumbe Afande akienda kula mzigo anahakikisha kawapiga bia jamaa zake kama 4 hivi counter wanamsubili. Jamaa yetu pasipo kujua kaingia na mlango kunako mgegedo room. Bwana bwana valangati lake sasa, though jamaa alifanikiwa kumtia ngumi mbili tatu mgoni wake ila company ya jamaa aliyoiacha counter ilimtaiti jamaa na kumdondoshea kichapo heavy sana.
Hadi tunakwenda mitamboni jamaa kat**bewa na amekula ngumi za kutosha na sura imevimba. Mke hajarudi toka siku ya kisanga. Dunia sio mbaya wajawake ndio balaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe Na jamaa yako mazuzu
 
Yaan unaenda kufumania, tena Mkeo wa Ndoa halafu unaambulia Kipigo! Onene yaya geteee! Ntakusaka tu siku nyingine mpaka kieleweke.
 
Hivi hao wanawake sio binadamu kwamba hawajui kwamba wao ni wake za watu mpaka wanaenda kugegedwa na wanaume wengine mbona mimi sielewi jamani inakuwaje ? Afu ukisha jua demu wako anagegedwa nje ya nini kumfumania ili iweje si unamuacha yanaisha jamani kwa nini tunaharibiana sifa mtaani.

Dawa ya mtu anayemgegeda mkeo ni kumuacha tu japo najua hamuwezi kuachana kistaarabu, lazima ngumi na kujeruhiana kuhusike.

kama mgoni wako anakuzidi nguvu nenda kwa Mshana Jr. Akusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamuacha kwani ameondoka nacho? Si anapata raha zake tu then anarudi nyumbani kiroho saaafi kabisa[emoji85]
Hahaha

Ndio namuacha akaendelee kupata raha zaidi!Kuchepuka ni kosa kubwa sana kwangu na halisameheki!
 
Unasumbuka na mwanamke aliyechepuka? Kwangu biashara ndiyo imeisha hapo hapo. Sina muda wa kuzozana na jamaa wakati uchi wake kautoa mwenyewe, kashindwa kujiheshimu. Na hata huyo mwanamke sina muda wa kuzozana nae.

Kama tumefunga ndoa na tuna watoto nakuachia nyumba kwa ajili ya watoto, mimi nasepa.
 
Back
Top Bottom