Mwagito84
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 235
- 716
Jamaa yetu kitaa amevimba uso, hana hamu tena na mke kachapiwa. Ilikuwaje! ungana nami.
Kwa muda jamaa aliskia kiwa kuna afande mmoja anamla mkewe. Jamaa kwa mwendo wa kobe akaanza kufuatilia. Sasa bwana juzi kati kabonyezwa mkeo yuko room namba x afande anatandika mitindo huru.
Jamaa kakurupuka hadi maeneo kumbe Afande akienda kula mzigo anahakikisha kawapiga bia jamaa zake kama 4 hivi counter wanamsubili. Jamaa yetu pasipo kujua kaingia na mlango kunako mgegedo room. Bwana bwana valangati lake sasa, though jamaa alifanikiwa kumtia ngumi mbili tatu mgoni wake ila company ya jamaa aliyoiacha counter ilimtaiti jamaa na kumdondoshea kichapo heavy sana.
Hadi tunakwenda mitamboni jamaa kat**bewa na amekula ngumi za kutosha na sura imevimba. Mke hajarudi toka siku ya kisanga. Dunia sio mbaya wajawake ndio balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa muda jamaa aliskia kiwa kuna afande mmoja anamla mkewe. Jamaa kwa mwendo wa kobe akaanza kufuatilia. Sasa bwana juzi kati kabonyezwa mkeo yuko room namba x afande anatandika mitindo huru.
Jamaa kakurupuka hadi maeneo kumbe Afande akienda kula mzigo anahakikisha kawapiga bia jamaa zake kama 4 hivi counter wanamsubili. Jamaa yetu pasipo kujua kaingia na mlango kunako mgegedo room. Bwana bwana valangati lake sasa, though jamaa alifanikiwa kumtia ngumi mbili tatu mgoni wake ila company ya jamaa aliyoiacha counter ilimtaiti jamaa na kumdondoshea kichapo heavy sana.
Hadi tunakwenda mitamboni jamaa kat**bewa na amekula ngumi za kutosha na sura imevimba. Mke hajarudi toka siku ya kisanga. Dunia sio mbaya wajawake ndio balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app