Kafulila na Halima Mdee kuwasha "Moto" Temeke

Kafulila na Halima Mdee kuwasha "Moto" Temeke

Hebu UKAWA nendeni vijijini huko Mufindi,Makete huko watu bado wamelala acheni kung'ang'ania mjini tu.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo
chadema kwa kushirikiana na wana
ukawa wote cuf ,nccr na nld kesho
tarehe 10/01/2015 tutakuwa na
mkutano mkubwa wa hadhara katika
jimbo la temeke viwanja vya mwembe
yanga, mkutano huo utaongozwa na mh
devid kafulila , halima mdee na
kamanda mwakyembe njoo ujue nini
kitaendelea bunge lijalo kuhusiana
na swala la escrow wananchi wote
mnakaribishwa
..yes,mafisadi wote wauwawe
 
Hebu UKAWA nendeni vijijini huko Mufindi,Makete huko watu bado wamelala acheni kung'ang'ania mjini tu.

bora hata sisi huku vijijini tunajitambua siku hizi kuliko nyinyi wa hapo dar yaani ccm inawagaragaza kila siku............yaani mmetuachia watu wa vijijini tufanye mabadiliko nyinyi dar mme relax tu na kujifanya mpo bize......ccm wanawachezea watakavyo.............KWAKWELI MNATUANGUSHA SANA WATU WA DAR
 
bora hata sisi huku vijijini tunajitambua siku hizi kuliko nyinyi wa hapo dar yaani ccm inawagaragaza kila siku............yaani mmetuachia watu wa vijijini tufanye mabadiliko nyinyi dar mme relax tu na kujifanya mpo bize......ccm wanawachezea watakavyo.............KWAKWELI MNATUANGUSHA SANA WATU WA DAR

Mkuu mimi sipo Dar nipo Iringa mjini
 
Halima Mdee angekuwa CCM angekuwa fisadi,sema tu huku chadema haoni mianya ya ufisadi
 
Back
Top Bottom