Chama cha demokrasia na maendeleo
chadema kwa kushirikiana na wana
ukawa wote cuf ,nccr na nld kesho
tarehe 10/01/2015 tutakuwa na
mkutano mkubwa wa hadhara katika
jimbo la temeke viwanja vya mwembe
yanga, mkutano huo utaongozwa na mh
devid kafulila , halima mdee na
kamanda mwakyembe njoo ujue nini
kitaendelea bunge lijalo kuhusiana
na swala la escrow wananchi wote
mnakaribishwa
chadema kwa kushirikiana na wana
ukawa wote cuf ,nccr na nld kesho
tarehe 10/01/2015 tutakuwa na
mkutano mkubwa wa hadhara katika
jimbo la temeke viwanja vya mwembe
yanga, mkutano huo utaongozwa na mh
devid kafulila , halima mdee na
kamanda mwakyembe njoo ujue nini
kitaendelea bunge lijalo kuhusiana
na swala la escrow wananchi wote
mnakaribishwa