Kafulila kuongoza bomoa bomoa barabara ya Morogoro?

Kafulila kuongoza bomoa bomoa barabara ya Morogoro?

jogi

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
25,556
Reaction score
25,368
Amehami CCM rasmi, naye ameonyesha "kukunwa" na kasi ya Rais Magufuli, mpaka 'kadandia mchuma'. Sasa kwa kuwa RaisMagufuli ana operation ya kubomoa makazi ya raia yanayodaiwa kuwa ndani ya maeneo ya akiba ya barabara.

Je, mhamiaji Kafulila yuko tayari kuendesha tingatinga akabomoe nyumba za wananchi?
 
Umesikia kuwa yeye ni dereva wa tingatinga?? Uliza swali kuwa, Je, yupo tiyari kwenda kukaa ofisi moja na Wereeee ka mshauri wa raisi??
 
Mishahara mipya vipi jamani au ndo wanataka kututoa kwenye reli tusijadili kwa kuleta hizi sajili zao
 
Umesikia kuwa yeye ni dereva wa tingatinga?? Uliza swali kuwa, Je, yupo tiyari kwenda kukaa ofisi moja na Wereeee ka mshauri wa raisi??
Sio lazima kwa kuendesha mkuu!
 
Hata akiambiwa awatandike mijeledi wauza migebuka wanaofanya biashara zao pembezoni mwa barabara atawatandika na atawamwagia maji ya upupu bila huruma.
 
Hata akiambiwa awatandike mijeledi wauza migebuka wanaofanya biashara zao pembezoni mwa barabara atawatandika na atawamwagia maji ya upupu bila huruma.
Kumbukumbu ya kuhama kwake iko hivi.
Chadema, Nccr mageuzi, Chadema na sasa ccm!

Kumuamini huyu jamaa ni kujikosea adabu.
 
Back
Top Bottom