MZEE MAPOSENI
Member
- Sep 2, 2009
- 50
- 11
Wakuu kwa heshima zooote nilimrekodi Kafulila (Mwanzo Mwisho - Audio) ninayo kwenye whatsapp nimechemka kui-attach hapa jamvini, nafanyaje ili niitundike JF?, nikijaribu napata option ya picha na link tu. Anayejua anisaidie.