Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
tujilauim kwa kuingiza mwizi ikulu
Hakuna sababu ya kujilaumu,ni kazi ya wabunge kuipigia kelele wakaguzi (International Auditors) ambao ni wazuri kwa kufanya uchunguzi kuliko watanzania sababu kubwa moja,hawa siyo rahisi kupokea rushwa.Hivyo wabunge wapige kelele nyingi tu ili hili lla International Auditors likubalike ili waje kufanya Investigation nadhani inaitwa "Forensic Audit' kama sijakosea.