ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,252
- 8,341
Yaani mjomba kakomeshwa hasa, hili ni fundisho na kwa wengine wenye tabia kama ya mjomba, hamridhiki na wake zenu, mweeeh!
Nimeshindwa kujizuia kucheka na kukuonea huruma, jinsi unavyomsikitikia huyo bazazi wa matendo kwamba mzigo alimiss na bado mshiko ukamtoka na wakamdu; haya nimekubali sio vizuri ila kiukwelii nimefurahi! :biggrin: