Kafara za ngono

Mnmmmhhhhhh!
 
It makes sense. Lakini mimi nafikiria tofauti, nafikiri huenda aliambiwa arekodi na aiachie watu waone kisha akirudi nyumbani atakuta mahela yamejaa chumbani au vyovyote vile kutegemea lengo la kafara
Whatever the case it was done intentionally
 
Hapa mshana katumia tukio la Gwajima kutengeneza story yake.
Kuwa kafara zinapigwa picha kutumwa kwa wenyewe!!! dont believe.
Brother muda wa kuumbuka unapofika lolote hutokea... Uko sahihi lakini mawasiliano ya mtu yanaweza kudukuliwa na kuambiwa cha kufanya....
Soma para ya mwisho utanifahamu vema
 
Aiseee wewe jamaaaa nakumbuka ile thread YA Kuhusu wanawake majasusi.ulisema wanakupandisha then ukifika kieleln wanakubana aoseeeee
 
Sijui amekula maharage ya wapiiii?
Lakini katika Dunia yetu, Kuna mambo makubwa ambayo tukishafanya/au kuwafanyia wenzetu, tusisahau.Maana yake ,mla kunde husahau,Bali mtupa maganda, hawezi kusahau.
Nilitegemea kuona anaenda uvinza na kupima oil kwanza kama yule jamaa kwenye ile video nyingine
 
Sasa Mshana Jr amepewa maelekezo na nani afanye hivyo na waliodukua ni nani hao?
 
Hapa mshana katumia tukio la Gwajima kutengeneza story yake.
Kuwa kafara zinapigwa picha kutumwa kwa wenyewe!!! dont believe.
Kuna vitu hamvifahanu kwenye haya mambo..... Pesa ina nguvu sana... Unaenda kwa mtaalam anakutengeneza na unaanza kuzikamata za kutosha, baadae unajiongeza kwa kufanya na ya ziada... Kwa mfano hawa manabii wanachanganya nguvu za nuru na giza... Baadae unamzidi maarifa hata aliyekubrand
Akigundua hivyo hahangaiki sana na wewe... Za mkwezi mbili kuna siku utataka tu kurejea kwake... Hapa hana faida tena na wewe anachotaka ni kulipa tu kisasi... Ni katikati ya frustration utapungukiwa na tafakuri utatenda bila kufikiri vema....
 
Naogopa kukwambia umeandika nonsense usije ukanipiga kipapai mkuu
 
Dunia uwanja fujoo. Yaani wengine mara wamebaka maiti. Huyu mwingine mchungaji katuma video anazini.

Yaani full vurugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…