Kafara ni nini?

Kafara ni nini?

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
4,873
Reaction score
1,220
Leo tuzungumzie swala zima la Kafara.

Kwanza kabisa KAFARA NI NINI?

Kama una uelewa na mambo ya kafara funguka hapa,tushirikiane


Kuna aina NGapi Za KAFARA?
 
Mkuu kafara ni sadaka ya damu itolewayo kwa mashetani au mapepo na hii haijaanza leo tangu zamani watu wamekuwa wakifanya hivo tena na tena kuanzia agano la kale mpaka agano jipya
Pia watu walikiwa wanaitolea miungu yao wanaoiabudu ili iwape vitu gulani inaweza ikawa ushindi wa vita au mashindano yyte. Nasikia maandiko yapo kabisa yanayosema kafara mkuu
 
Kafara maana yake unatolea kafara dhambi, unafuta la wajibu uliloacha.
 
Mkuu kafara ni sadaka ya damu itolewayo kwa mashetani au mapepo na hii haijaanza leo tangu zamani watu wamekuwa wakifanya hivo tena na tena kuanzia agano la kale mpaka agano jipya
Pia watu walikiwa wanaitolea miungu yao wanaoiabudu ili iwape vitu gulani inaweza ikawa ushindi wa vita au mashindano yyte. Nasikia maandiko yapo kabisa yanayosema kafara mkuu

Kafara
...matoleo ya tambiko
....matoleo ya kitubio
 
Popo1986

Safi kwa maelezo yako.

Wakati tunaendelea kusubiri wengine watueleze wanavyojua kuhusu kafara.

Embu tuone je kuna aina ngapi za kafara
 
kwani alitaka lugha? maana ya kafara?

kwangu ni kama gharama unayoingia ili kupata kitu flani inaweza ikawa pesa, muda na nk
kwa mfano nimesacrifice kila jambo mwezi huu ili nipate pesa ya kuafanyia jambo flani
 
Kafara ni sadaka itolewayo kwa miungu ili kufanikisha jambo alilokusudia mtoaji
 
Kafara ni sadaka itolewayo kwa mashetani ili ufanyiwe jambo fulani , na hii inaweza tolewa kwa wanyama, au binadamu, kwa maana kafara lazima iwe damu mbichi ambayo kama ni kwa mganga wa wakienyeji unapeleka mnyama ama mbuzi ama kondoo na wakati anachinjwa kunakuwa na maneno ambayo mganga huyo anayatamka na yale mashetani yaliyoitwa pale yanakunywa ile damu na kuanza kufanya kazi sasa kusimamia yale manuizo kama jinsi ambavyo mwenda kwa mganga alitaka utendendewe, hata siku moja mganga haombi kabeji au matango.
 
kwangu ni kama gharama unayoingia ili kupata kitu flani inaweza ikawa pesa, muda na nk
kwa mfano nimesacrifice kila jambo mwezi huu ili nipate pesa ya kuafanyia jambo flani
OK, sasa wanaosema ajali ni kafara wana maana gani?
 
kuna wakati kunakuwa na ajali nyingi za ndege, na wadhungu wanatoa nao kafara?
 
Mkuu myoyambendi ktk vitu ambavyo wazungu wamefanikiwa sana ni kule kutuaminisha kuwa wao sio wachawi na wala hawatoi kafara...
Lakini nao hutoa kafara vile vile na hili jambo lipo
Kwa mfano ndege ya Malaysia na zungine unasikia tu haionekani unazani ipo wapi.tena uchawi wao ni hatari bora wa ki bongo angalau mabati ya bus au tren unaviona wao huoni kitu.yaani vyote vinaelekea kuzimu kama sadaka.
 
Back
Top Bottom