Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Hivi hatuwezi kujenga majengo marefu bila ya watu kufa?
Vifo vya ajabu kabisa, havielezeki.
Na kibaya zaidi ni kwamba wenye majengo yaani wanaona kama amekufa mbuzi tu.
Utasikia wanatoa rambirambi elfu hamsini.
Afrika bwana , looo kinyaa kitupu.
Vifo vya ajabu kabisa, havielezeki.
Na kibaya zaidi ni kwamba wenye majengo yaani wanaona kama amekufa mbuzi tu.
Utasikia wanatoa rambirambi elfu hamsini.
Afrika bwana , looo kinyaa kitupu.