Kafanya kosa gani??

pengine alikuwa kt maandamano huku mtwara akipigania gas kwanza uhai baadaye au harakati za move for change.
 
Hahahahahahah mwanammke kakaz huyo duh anafaa kuwa jeshi.
 
Atakuwa anadaiwa na mama ntilie

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mke wake (huyo baunsa) kamfumania na nungayembe fulani, anamrudisha home sasa wakaongee
 
kalipiwa ada hataki kwenda shule .............. anakaa kijiweni kucheza bao/karata!!
 
anarudishwa nyumbani ili akachukue jembe akalime ili ailee familia....maandamano ya vyama uchwara na vya kuchumia tumbo hayana tija kwa familia.
 
mama ntilie huyo anadai hela yake.
 
Nilikuwepo eneo la tukio. Huyu dogo alikimbilia katika pool table baada tu yakumaliza lunch.
Alisahau wajibu wake wa kusafisha sahani aliotumia kwa chakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…