Kaduma (wa sani) yuko wapi siku hizi?

Kaduma (wa sani) yuko wapi siku hizi?

illegal migrant

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
kama sikosei majina yake kamili ni John kaduma huyu jamaa alivuma sana Enzi zile sani haijawa gazeti bali ilikuwa ni jarida ambalo lilikuwa linatoka kwa awamu...kina mayuku, madenge, kifimbo cheza, shamba la panga, ndumilakuwili, kifimbo cheza...jama kama sikosei alikuwa mchoraji mzuri sijui amepotelea wapi aiseee
 
Dah,mkuu umenikumbusha mbali sana. John kaduma mimi nilimjulia sana katika gazeti la tabasam(bongo?). Enzi hizo palkua na hadithi kwa njia ya mchoro ya Anga za wenyewe( Bwana jumbo,raymond na pacha wake). Baada ya hapo akaleta nyingine ambayo mastering walkuwa wadada wa tatu bajambazi. Tokea hapo skumsikia kabisa. Nlivofatlia nliambiwa john alishafariki. Kwa kwel nmemmiss sana.
 
Alishafariki kitambo sana nadhani ni mwaka 2002.
 
R. I.P J .Kaduma,alitamba sana katika hadithi ya michoro ya Mzee Ole,Mayuku na Obi,Football timu za Makwekwe United,Bush Stars,Born Town,Boxing fight ya Zena vs Betina daah alikuwa juu kwa kweli....
 
Alishafariki long time ago. Alikuwa ni mchoraji bora kabisa Tanzania of all time!
 
Back
Top Bottom