DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,418
Kweli mkuu......ila inabid tusiishi kwa historia"Huu Ubingwa Simba Tunachukua Kama Kawaida , Yanga Baiskeli Ya Miti Ile Atadondosha Point Kama Msimu Ulopita Tu We Kwani Hukumbuki Ilivokuwa Msimu Ulopita Si Ndo Ilikuwa Hivi Hivi..!" Simba Nguvu Moya...Daima Mbele Nyuma Muwa
![]()
Lakin mm naona mwenye mlima mkubwa n Simba.......coz kwa wanavyojikongoja......ni wazi yajayo yatakuwa haevy sanaKwenye mpira inawezekana kabisa ,point 10 sio nyingi kiivo ukizingatia Bado michezo 17 kwa kila timu .
Swali hapa je Simba hii inao uwezo wa kushinda michezo yote 17 bila kupoteza ?
Swali lingine je yanga ili awe bingwa atashinda michezo yote 17 bila kupoteza?
Mpaka Sasa mwenye faida Ni yanga maana yupo mbele points10 lakin haimanishi basi yeye tayari Ni bingwa,..
Mpira una maajabu mengi tuwe wapole muda utaamua Nan atakua bingwa.
Mkuu Koo ina maana unaukosoa ...mfumo wa 6_ 4_Nyie furahisheni genge tu na kujifariji point 10 unaziona ni chache kwa upande wako lakini wanaovuja jasho uwanjani na upinzani wanaokutana nao ndo uwaulize ugumu wanaokutana nao watakwambia, we unafikiri ni suala la kwenda tu uwanjani na kuchota point na kuondoka, kama ni rahisi simba walishindwa nini kuzipata
😂 Yaani yule sijui ndo Simba wa Teranga au nini sijui? Nyuzi na comments kama hizo hapa JF ni tiba tosha kwa stress.Shika iyo chaaapa Sana![]()