Kadogoo: Tuliamini Lema ni Mandela wetu lakini katuangusha

Kuhusu kutafuta hifadhi kwa viongozi wa upinzani katika mataifa yanayoheshimu uhuru na haki ya kuishi.

Na Mwl, John Pambalu

Mwaka 2015 baada ya uchaguzi uliompa ushindi Mhe. Magufuli. Aliyekuwa Mkt wa Chadema mkoa wa Geita na mgombea ubunge Jimbo la Busanda marehemu Alphonce Mawazo. Alipokea taarifa za vitisho juu ya uhai wake, hakuamua kukimbia nchi akaendelea kubaki nchini, siku chache baadaye aliuawa kikatili mchana kweupe mita chache kutoka kituo cha polisi huku jimboni Busanda mkoani Geita.

Kiongozi mwingine wa Chadema na mkosoaji wa serikali ya awamu ya tano Ben Saanane alipokea taarifa za kutishia uhai wake. Hakuona sababu za kukimbia nchi akaendelea kubaki nchini. Siku chache baadaye alipotea na mpaka leo hakuna anayejua yuko wapi Ben Saanane.

Mwaka 2017 Mhe. Tundu Lissu alipokea vitisho juu ya uhai wake. Yeye alijaliwa kujua mpaka namba za gari za waliokuwa wakimfatilia. Lissu hakuona umuhimu wa kutafuta hifadhi. Siku chache baadaye alishambuliwa kwa risasi za moto kwenye nyumba za serikali zenye ulinzi full-time. Mpaka leo hata hao wanaodai nchi iko swali hawajawahi kusema ni wakina nani walimshambulia Lissu.

Nataka kusema nini?.

Wapinzani wanaotishiwa uhai wao kuamua kuondoka nchini kutafuta hifadhi ni hekima ya kimungu. Yusuph alimkimbiza Bethlehem mtoto Yesu kukwepa tishio la kupoteza uhai wa mtoto Yesu baada ya mfalme Herode kutangaza watoto wote wa kiume wauawe.

Mhe. Lissu na Lema ambao wameondoka nchini kutafuta hifadhi nje ya nchini wanastahili pongezi hata Yesu alipelekwa uhamishoni ili abaki salama.

Wasalaam
John Pambalu
Mkt Bavicha taifa
 
Kada mkongwe wa CHADEMA na msaidizi wa Lema jijini Arusha anayejulikana kwa jina la Kadogoo anasema haamini kama Lema kakimbilia Kenya.

"Mimi ndiye niliyempa Lema jina la Mandela baada ya kukaa maabusu takriban miezi minne (4) na akaendeleza mapambano" anasema Kadogoo "Ila sasa katuangusha watu wa Arusha na wafuasi wa CHADEMA" ameendelea kusema " kweli wanasiasa hawaaaminiki"

Kadogoo anasema kwa mshangao "hadi nilipomsikia BBC ndio niliamini kuwa jamaa kakimbia mapambano". Kadogo anasema yeye na wenzake wengi wameamua sasa kuachana na siasa ili kujikita na kutunza familia zao kwani wanasiasa waliowaamini wamewaacha na wamekimbia na familia zao.

Brother "sisi tumetesa familia zetu Lisa wanasiasa lakini wao wajanja wanapenda familia zao"

My take
Akili za kuambiwa changanya na zako.Leo hii vijana wengi wameacha shule,wamekuwa vilema au hata kupoteza maisha yao kisa ulaghai wa wanasiasa. Sasa hili ni fundisho.

Hajui siasa huyo, unapokuwa mpinzani wa kweli kwenye nchi za madictator, kukimbia ni njia ya mapambano, amuulize rais wa sasa wa DRC, Museveni, Laurent Kabila kwenda kumtoa dictator Mobutu.
 
Kuhusu kutafuta hifadhi kwa viongozi wa upinzani katika mataifa yanayoheshimu uhuru na haki ya kuishi.

Na Mwl, John Pambalu

Mwaka 2015 baada ya uchaguzi uliompa ushindi Mhe. Magufuli. Aliyekuwa Mkt wa Chadema mkoa wa Geita na mgombea ubunge Jimbo la Busanda marehemu Alphonce Mawazo. Alipokea taarifa za vitisho juu ya uhai wake, hakuamua kukimbia nchi akaendelea kubaki nchini, siku chache baadaye aliuawa kikatili mchana kweupe mita chache kutoka kituo cha polisi huku jimboni Busanda mkoani Geita.

Kiongozi mwingine wa Chadema na mkosoaji wa serikali ya awamu ya tano Ben Saanane alipokea taarifa za kutishia uhai wake. Hakuona sababu za kukimbia nchi akaendelea kubaki nchini. Siku chache baadaye alipotea na mpaka leo hakuna anayejua yuko wapi Ben Saanane.

Mwaka 2017 Mhe. Tundu Lissu alipokea vitisho juu ya uhai wake. Yeye alijaliwa kujua mpaka namba za gari za waliokuwa wakimfatilia. Lissu hakuona umuhimu wa kutafuta hifadhi. Siku chache baadaye alishambuliwa kwa risasi za moto kwenye nyumba za serikali zenye ulinzi full-time. Mpaka leo hata hao wanaodai nchi iko swali hawajawahi kusema ni wakina nani walimshambulia Lissu.

Nataka kusema nini?.

Wapinzani wanaotishiwa uhai wao kuamua kuondoka nchini kutafuta hifadhi ni hekima ya kimungu. Yusuph alimkimbiza Bethlehem mtoto Yesu kukwepa tishio la kupoteza uhai wa mtoto Yesu baada ya mfalme Herode kutangaza watoto wote wa kiume wauawe.

Mhe. Lissu na Lema ambao wameondoka nchini kutafuta hifadhi nje ya nchini wanastahili pongezi hata Yesu alipelekwa uhamishoni ili abaki salama.

Wasalaam
John Pambalu
Mkt Bavicha taifa
Mkumbuke na Chacha Wangwe
 
Nchi inaongozwa na washamba,kama JK angeamua kuwawinda wapinzani sijui kama Magufuli angeikuta nchi katika hali aliyoikuta!Aibu kubwa sana hii!
Hivi unajua Lissu keshakimbilia Ulaya wwwe.
Wewe ndio ulikuwa mstari wa mbele kumtukqana JK sasa unamkumbuka
 
Kamanda kwa hiyo Lema ataendelea na siasa?
Hajui siasa huyo, unapokuwa mpinzani wa kweli kwenye nchi za madictator, kukimbia ni njia ya mapambano, amuulize rais wa sasa wa DRC, Museveni, Laurent Kabila kwenda kumtoa dictator Mobutu.
 
Kuwafuata Wajinga wa Siasa ni kuishi Kama Mtumwa kwani china wamewezaje kujenga nchi yao na chama chao kimoja,kwa upuuzi unaoendelea hivi sasa twende zetu na CCM Chama hiki kitatufikisha kwenye Nchi tuitakayo na si vinginevyo
Wachina wanafurahia nchi yao?
Kama hawana furaha hayo sio maendeleo
 
Kada mkongwe wa CHADEMA na msaidizi wa Lema jijini Arusha anayejulikana kwa jina la Kadogoo anasema haamini kama Lema kakimbilia Kenya.

"Mimi ndiye niliyempa Lema jina la Mandela baada ya kukaa maabusu takriban miezi minne (4) na akaendeleza mapambano" anasema Kadogoo "Ila sasa katuangusha watu wa Arusha na wafuasi wa CHADEMA" ameendelea kusema " kweli wanasiasa hawaaaminiki"

Kadogoo anasema kwa mshangao "hadi nilipomsikia BBC ndio niliamini kuwa jamaa kakimbia mapambano". Kadogo anasema yeye na wenzake wengi wameamua sasa kuachana na siasa ili kujikita na kutunza familia zao kwani wanasiasa waliowaamini wamewaacha na wamekimbia na familia zao.

Brother "sisi tumetesa familia zetu Lisa wanasiasa lakini wao wajanja wanapenda familia zao"

My take
Akili za kuambiwa changanya na zako.Leo hii vijana wengi wameacha shule,wamekuwa vilema au hata kupoteza maisha yao kisa ulaghai wa wanasiasa. Sasa hili ni fundisho.
Mandela hakuwahi kuwa JAMBAZI kama huyo Mandela wako feki
 
Kada mkongwe wa CHADEMA na msaidizi wa Lema jijini Arusha anayejulikana kwa jina la Kadogoo anasema haamini kama Lema kakimbilia Kenya.

"Mimi ndiye niliyempa Lema jina la Mandela baada ya kukaa maabusu takriban miezi minne (4) na akaendeleza mapambano" anasema Kadogoo "Ila sasa katuangusha watu wa Arusha na wafuasi wa CHADEMA" ameendelea kusema " kweli wanasiasa hawaaaminiki"

Kadogoo anasema kwa mshangao "hadi nilipomsikia BBC ndio niliamini kuwa jamaa kakimbia mapambano". Kadogo anasema yeye na wenzake wengi wameamua sasa kuachana na siasa ili kujikita na kutunza familia zao kwani wanasiasa waliowaamini wamewaacha na wamekimbia na familia zao.

Brother "sisi tumetesa familia zetu Lisa wanasiasa lakini wao wajanja wanapenda familia zao"

My take
Akili za kuambiwa changanya na zako.Leo hii vijana wengi wameacha shule,wamekuwa vilema au hata kupoteza maisha yao kisa ulaghai wa wanasiasa. Sasa hili ni fundisho.

Ulaghai wa wanasiasa? Nani kawapa vilema na kuwapotezea maisha? Nadhani hapo ndipo penye hoja ya msingi!
Nani huyo anayetesa familia za watu na kutoa maisha kisa siasa?
 
Yaan kadogoo ana taka mwenzake ahenyeshwe hahaha ... Lema si ndo alisekwa lupango kila wakiomba dhaman inakataliwa mbona yy kqdogoo asingeenda na yy lupango kumsaidia mwenzake hahahaha kadogooo ache ubinafsi
 
Kumiminiwa risasi 36 hakufai. Kufungwa mbona easy tu.

Mandela alifungwa jela, hakutishiwak kumiminiwa risasi au kupotezwa Kama Ben Saanane.

hivyo mazingira ya Lema na Mandela ni ya tofauti.
 
Unaijua historia vizuri? Mandela na Thabo Mbeki waliwahi kuishi Tanzania na watu wao walikaa Mazimbu Morogoro. Akina Kabila waliishi Tanzania pia. Sam Nujoma... Na bado walizikomboa nchi zao.
Kada mkongwe wa CHADEMA na msaidizi wa Lema jijini Arusha anayejulikana kwa jina la Kadogoo anasema haamini kama Lema kakimbilia Kenya.

"Mimi ndiye niliyempa Lema jina la Mandela baada ya kukaa maabusu takriban miezi minne (4) na akaendeleza mapambano" anasema Kadogoo "Ila sasa katuangusha watu wa Arusha na wafuasi wa CHADEMA" ameendelea kusema " kweli wanasiasa hawaaaminiki"

Kadogoo anasema kwa mshangao "hadi nilipomsikia BBC ndio niliamini kuwa jamaa kakimbia mapambano". Kadogo anasema yeye na wenzake wengi wameamua sasa kuachana na siasa ili kujikita na kutunza familia zao kwani wanasiasa waliowaamini wamewaacha na wamekimbia na familia zao.

Brother "sisi tumetesa familia zetu Lisa wanasiasa lakini wao wajanja wanapenda familia zao"

My take
Akili za kuambiwa changanya na zako.Leo hii vijana wengi wameacha shule,wamekuwa vilema au hata kupoteza maisha yao kisa ulaghai wa wanasiasa. Sasa hili ni fundisho.
 
Hivi unajua Lissu keshakimbilia Ulaya wwwe.
Wewe ndio ulikuwa mstari wa mbele kumtukqana JK sasa unamkumbuka
Weka ushahidi hapa kama mimi nilimtukana!Kuhusu Lissu nimefurahi kwamba kaondoka,huko atakuwa salama kuliko kukaa nchi inayoongozwa na wauaji!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom